Tuliopoteana tukutane hapa

Waliosoma Mawenzi Secondary Moshi Form Four 1970 tusalimiane huku.Classmate wetu si mnajuwa ni Four Star General na yule HP 1969 si alikuwa DG wa SIDO
 
Waliosoma Mawenzi Secondary Moshi Form Four 1970 tusalimiane huku.Classmate wetu si mnajuwa ni Four Star General na yule HP 1969 si alikuwa DG wa SIDO
Vijana wakupe shkamoo.
Mimi namtafuta Sarah Dumba...
 
Namtafuta Neema Komba alisoma Shule ya msingi makumbusho alimaliza 1999,tulienda umitashumta Tanga 1999,Secondary alisoma Makongo,Mm nilisoma Jitegemee miaka ya 2000 hadi 2004 lakini tulipotezana mwaka2002.nimekufuta sana Neema ukiona post hii au yeyote anisaidie(0716 109107)Elias
 
Mmh haya bana, Ina mana bado hujampata WA kumuoa?
 
aah! Alhamisi mbali mnooo.....mimi nashangaa anavozalilisha fani ya ujeda kweli, majeda huwa hawachelweshi mambo namna hii, bora angebakiaga tu kwenye ukopro.
Tumrudishe Monduli akapigwe msasa
 
Mie namtafuta AMON.....yani sijui sir name yake .....ila mie ni yule wa udsm kipindi 2008/2009........
 
Jamani mm msinicheke namtafta msanii mmoja malaw alishiriki kampeni za 2010 tangu hapo sijawahi kumuona wala kumsikia popote jamani malaw uko wap? Hela ulizozivuna zilikupoteza? Jitokeze bana watu wana wasiwasi na wewe mm ndo usiseme plz njoo.

Baada ya kampen mengi yamejitokeza, na kampeni hizi za juzi ameshiriki ndugu yako diamond na watu wametoa mwaka na nusu kupotea kama wewe ndo maana kajiwahi kaimba "je utanipenda"? Kabla haijawa historia ukuje najua huko humu! can't wait!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…