Tuliopotezana na Wapenzi wetu tuwatambue kwa majina nyakati na sehemu

Tuliopotezana na Wapenzi wetu tuwatambue kwa majina nyakati na sehemu

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Ebwana eeeh namkumbuka Koku alikuwa receptionist giraffe hotel na peacock Hotel, bonge la pisi halafu mtamu safari zangu za mbele nimepotezana nae, 2008-2010, DSM nikiwa mkazi wa kijitonyama, Mfugale junior tulikuwa ligi moja ila sio mbaya, koku uko wapi?koku kama koku

Tuwatafute
 
Ebwana eeeh namkumbuka Koku alikuwa receptionist giraffe hotel na peacock Hotel, bonge la pisi halafu mtamu safari zangu za mbele nimepotezana nae, 2008-2010, DSM nikiwa mkazi wa kijitonyama, Mfugale junior tulikuwa ligi moja ila sio mbaya, koku uko wapi?koku kama koku

Tuwatafute
Weka no yake mkuu Hawa kina koku Huwa hawana roho mbaya ki-hiivyo... kama unaona shida weka hata picha yake kusindikizia maelezo.
 
Ebwana eeeh namkumbuka Koku alikuwa receptionist giraffe hotel na peacock Hotel, bonge la pisi halafu mtamu safari zangu za mbele nimepotezana nae, 2008-2010, DSM nikiwa mkazi wa kijitonyama, Mfugale junior tulikuwa ligi moja ila sio mbaya, koku uko wapi?koku kama koku

Tuwatafute
Koku yupo pale tandika kwa Wahaya wala usiumize kichwa kumfaind ww nenda na buku3 ukaseme neno moja tu na Roho yako itapona
 
Ebwana eeeh namkumbuka Koku alikuwa receptionist giraffe hotel na peacock Hotel, bonge la pisi halafu mtamu safari zangu za mbele nimepotezana nae, 2008-2010, DSM nikiwa mkazi wa kijitonyama, Mfugale junior tulikuwa ligi moja ila sio mbaya, koku uko wapi?koku kama koku

Tuwatafute
Heshimu faragha ya mtu. Weka jina lako wewe, sio la mtu na kumuanika mliyofanya. Hata ulichoandika hapo atakujua aje, kama nia sio kudhalilisha wengine?
 
Back
Top Bottom