Mastabenja
Member
- Mar 23, 2012
- 25
- 6
Huyu jamaa alikuwa
hodari sana wa kufundisha hist_kila aliyekuwa anahudhuria vipindi vyake
alikuwa anainjoy sana.alikuwa hana complication za kijinga kama dr
mselemu -huyu dr akikuwa kilaza sijawahi kuona .hebu
tujikumbushe
Usinikumbushe Mselem ni noma,ukipata B Plain unajiona shujaa,nasikia bado anatesa watu hadi leo. Km utakua ni miongoni mwa wanafunzi waanzilishi utakumbuka first yeartulimkataa tukaletewa Juma wa Open anaeleweka lkn
Mkoloni balaa.
Jamani kwani hiyo DUCE product yake ya kwanza ilikuwa lini hadi mkumbushane? Nyie bado wote kama mko chuo tu mana mtakuwa mmegraduate ndani ya 5yrs.
Alafu nyie ma_teacher nendeni kufundisha acheni kupoteza mda kukumbushana recturers wenu wakati watoto wako class wanasubiri.
Teachers oweeeee
Jamani kwani hiyo DUCE product yake ya kwanza ilikuwa lini hadi mkumbushane? Nyie bado wote kama mko chuo tu mana mtakuwa mmegraduate ndani ya 5yrs.
Alafu nyie ma_teacher nendeni kufundisha acheni kupoteza mda kukumbushana recturers wenu wakati watoto wako class wanasubiri.
Teachers oweeeee