Tuliotoboa maisha kibishi tukutane hapa

NYUZI ZA AKILI KAMA HIZI UTAKUTA ZIMEJAZA PAGE 1 TU KWA WANA JAMII FORUM, SASA NGOJA ZIWEKWE ZILE NYUZI ZA KISIASA, MAPENZI NA USHABIKI KWA MTU ASIYEJUA ANASHABIKIWA NAO(GIGGY MONEY), NI NUSU SAA TU UTAKUTA PAGE ZAIDI YA 200 NA ZAIDI.


KWELI TZ TUNA UJINGA WA KIPEKEE SANA DUNIANI KOTE.
 
Vichwa panzi ni wengi
 
1.Ulimaliza form six.
2.Kipindi hicho mikopo ilikuwa shida.
3. sahivi una miaka 24.

Haiitaji level kubwa ya intelligence kumsoma mtoa mada, ila kwa upande wangu acha niongeze siagi kwenye mkate.
 
Ni kweli uelewa wako ni mdogo. Hajasema ana miaka 24 ila kasema ana miaka 24+ akimaanisha 24 na zaid. Ngoja nkusaidie yan kamaanisha anaweza kua na 25, 26, 27, 28 nk. Muhimu ni kuangalia ujumbe unasema nn
1.Ulimaliza form six.
2.Kipindi hicho mikopo ilikuwa shida.
3. sahivi una miaka 24.

Haiitaji level kubwa ya intelligence kumsoma mtoa mada, ila kwa upande wangu acha niongeze siagi kwenye mkate.
 
1.Ulimaliza form six.
2.Kipindi hicho mikopo ilikuwa shida.
3. sahivi una miaka 24.

Haiitaji level kubwa ya intelligence kumsoma mtoa mada, ila kwa upande wangu acha niongeze siagi kwenye mkate.

nipakie na mm hyo.siagi
 
Ni kweli uelewa wako ni mdogo. Hajasema ana miaka 24 ila kasema ana miaka 24+ akimaanisha 24 na zaid. Ngoja nkusaidie yan kamaanisha anaweza kua na 25, 26, 27, 28 nk. Muhimu ni kuangalia ujumbe unasema nn
Haha miaka (24+) sawa mkuu nimekubali ninauelewa mdogo asante kwa kunielewesha.
 
Ina maana Team kiba100 hawamo!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…