Tuliotoboa maisha kibishi tukutane hapa

saizi naona uko chuo sasa maana naona mafanikio yako yakimaandishi sana hayana uhalisia
 
Sa

samahani boss...unaweza nifafanulia hyo 5m kwenye mazao unalima nini na nini had uipate hyo 5m?
Bibie mbona jamaa ameeleza vzuri kuwa baada ya kilimo anapiga na biashara ya mazao ukichanganya mapato yake ndio anapata kwa mwezi 5M means kilimo na bizness....
 
Nimegundua kuwa wengi hamuamini hii kitu kwa sababu ni wazaliwa wa town au maana nyingine hamkupitia kazi za shamba..

Kama unataka kilimo then wewe unakaa Mbezi Shamba liko Kyela aisee huwezi kufanikiwa ila kama ukiamisha makazi yako ukapiga kambi shambani ni ndani ya miaka 5 upo mbali kimaisha.
 


Tatizo wwngi sana hawakalkulate muda wa kuwa huko shambani..tabu inaanzia hapo..mradi uliwekeza 2m.ukapata 4m unaona umewin...lakini hapo hapi hujilipi ww..muda..na mengineyo..anywys! hongera tena
 
Tatizo wwngi sana hawakalkulate muda wa kuwa huko shambani..tabu inaanzia hapo..mradi uliwekeza 2m.ukapata 4m unaona umewin...lakini hapo hapi hujilipi ww..muda..na mengineyo..anywys! hongera tena
😁 Hongera kwa mtoa mada sio mimi ☺☺
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…