Tuliowahi kualikwa mikutano ya kimataifa na kuhudhuria tukutane hapa

Tuliowahi kualikwa mikutano ya kimataifa na kuhudhuria tukutane hapa

MAGAPA

New Member
Joined
Jan 4, 2025
Posts
4
Reaction score
2
Salaam!
Katika kutafuta maisha Kuna kipindi unaamua kujitoa kinaga ubaga kutafuta maisha mbali na nchi yetu ya Tanzania Sasa unafikiria utaanzaje kutoka kwenda huko unaamua kujifunza njia za kutoka Tanzania ili kwenda kuona fursa mbalimbali Sasa moja ya njia hizo ni kupata mualiko wa mkutano na kupata barua ya visa (Visa support letter).

Binafsi niliwahi omba nafasi mbalimbali za kujiunga na mikutano na nilifanikiwa kupata baadhi ya offer ila sijawahi kwenda kutokana na sababu mbalimbali hivyo napenda kufaham mliowahi pata na kwenda mlijifunza kitu gani huko, mlifikia hotelini au kwenye hostel, na mliwezaje kuzoeana na wenyeji ili siku ukitaka kurudi Tena kutafuta maisha iwe rahisi kuingia na kuishi!
 
Salaam!
Katika kutafuta maisha Kuna kipindi unaamua kujitoa kinaga ubaga kutafuta maisha mbali na nchi yetu ya Tanzania Sasa unafikiria utaanzaje kutoka kwenda huko unaamua kujifunza njia za kutoka Tanzania ili kwenda kuona fursa mbalimbali Sasa moja ya njia hizo ni kupata mualiko wa mkutano na kupata barua ya visa (Visa support letter).

Binafsi niliwahi omba nafasi mbalimbali za kujiunga na mikutano na nilifanikiwa kupata baadhi ya offer ila sijawahi kwenda kutokana na sababu mbalimbali hivyo napenda kufaham mliowahi pata na kwenda mlijifunza kitu gani huko, mlifikia hotelini au kwenye hostel, na mliwezaje kuzoeana na wenyeji ili siku ukitaka kurudi Tena kutafuta maisha iwe rahisi kuingia na kuishi!
Sema unataka viza ya nchi gani na umekwama nini, usizungushe kiswahili.
 
Njia rahisi ya kupata passport ni kuzamia meli na kujikuta uko nchi za watu. Halafu ukiwa huko ndiyo unaomba passport
 
Unalala hotel.
Unameet na watu wapya, na si lazma. Unaweza maliza meeting ukaenda kulala.
Sema kama una ndugu sehemu husika ndio unyama au rafiki. Nikiwa bado sijawahi pata safari, kuna demu alikua akiishi UK, nikazama.
Mzeee nilisugua week nzima, na nikabaki week zaidi nasugua tu.
Trip za hapa na pale, supermarket, restaurants, ziliniweka nikajua how europe is.
Nilipoingia mimi kama mimi, haikunitesa kuanza maisha.
 
Unalala hotel.
Unameet na watu wapya, na si lazma. Unaweza maliza meeting ukaenda kulala.
Sema kama una ndugu sehemu husika ndio unyama au rafiki. Nikiwa bado sijawahi pata safari, kuna demu alikua akiishi UK, nikazama.
Mzeee nilisugua week nzima, na nikabaki week zaidi nasugua tu.
Trip za hapa na pale, supermarket, restaurants, ziliniweka nikajua how europe is.
Nilipoingia mimi kama mimi, haikunitesa kuanza maisha.
Sawa, naomba kuulizia kulala kwenye hostel Kuna faida gani na changamoto zipi.


Hii nikiwa na maana kwamba hauna mtu kabisa ila unataka kutengeneza marafiki. Kwamaana ukilala hotelini kukutana na wenyeji wa maeneo inakua ni ngumu wengi wao wanaolala hotelini si wakazi wa maeneo hayo
Let say visa yako ni ya week moja tu urudi home (Tanzania)
 
Sawa, naomba kuulizia kulala kwenye hostel Kuna faida gani na changamoto zipi.


Hii nikiwa na maana kwamba hauna mtu kabisa ila unataka kutengeneza marafiki. Kwamaana ukilala hotelini kukutana na wenyeji wa maeneo inakua ni ngumu wengi wao wanaolala hotelini si wakazi wa maeneo hayo
Let say visa yako ni ya week moja tu urudi home (Tanzania)
Kwann ulale hostel
 
Ninayo visa support letter hivyo ninataka kufaham zaidi.
Ingia kwenye website ya ubalozi wa nchi husika angalua viza requirements au google.

Maana nimekuuliza unataka kwenda nchi gani husemi, requirements hazifanani.
 
Back
Top Bottom