Tuliowahi kubeba mzigo wa tatu bomba na kwenda nazo kwenye show lakin zikatupwa mbali tukutane hapa

Tuliowahi kubeba mzigo wa tatu bomba na kwenda nazo kwenye show lakin zikatupwa mbali tukutane hapa

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Habari ya sikukuuu wapenda, kma kinavyojieleza hapo juu.
Nilikuwa namfuatilia mrembo kwa zaid ya miez 4 siku hiyo akanikubalia kunipa hayo mambo, sasa tulipanga kwenda guest.
Nilichokumbuka cha kwanza ni kwenda shop kutafuta zangu tatu bomba(salama) pair mbili kwa 2000,tukaingizna mpaka ndani ndani.
Aisee kwa hali nilivyoiyona, mwali anayefichwa kwa zaid ya nguo tatu, nikazitumbal mbali kabisa maaana nikaona kma nitamnyima haki yake ya msingi.
##Wenzetu huu ujasir mmepambana nao vipi huko kwenu
 
Halafu tunategemea nchi kuwa ya viwanda wakati mawazo ni ya viwonderfull
 
Wenzenu akina nan mkuu, wengine hatufanyi ngono ovyo.
 
Aseee ilinitokea nikiwa kwenye gemu ,niliivua nakuendelea kula mzigo
 
Na kilusi akija ulete mlejesho kama huu wa Leo kuwa kutumia Co. ..mu hujitendei haki
 
Back
Top Bottom