DOKEZO Tuliowahi kufanya kazi benki pamoja na Mkurugenzi wa Credit Bureau njooni tuseme ukweli

DOKEZO Tuliowahi kufanya kazi benki pamoja na Mkurugenzi wa Credit Bureau njooni tuseme ukweli

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Mh. Rais naisi Kuna watu wanakudanganya, benki zote za Tanzania kwa sasa hazitoi mkopo kwa mtu yoyote paspo kufanyika search kupitia kitu kinaitwa credit bureau, ambapo benki inayotaka kukopesha ana acceses ya kupata taarifa za mkopaji dhidi ya tabia zake.

Nakumbuka mfumo huu niliwahi utumia kuchunguza mtoto wa kigogo mmoja ambaye mama yake alikuwa amejenga appartment pale Mikocheni, dogo alitaka 12,000,000/= kumbe alishakopa sana na halipi, alitaka anipigie nifukuzwe kazi pale.

Nakamwangalia nakuta ni bonge la kimeo, yaani alishakopa na halilipi kabisa, aise default la hatari ilo, nasikia zile apartment zimeuzwa (sina hakika).

Mh. Rais aliyekopa mikopo benk tano na kuondoka nazo pasipo kukamatwa kama ungekuwa na Tiss ningetaka waanzie hapa.

Ofisi za credit bureau zipo karibu na Serena kama hawajahama. Maana mabenki unawezakuta wamechoma moto nyaraka ili kupoteza ushaidi wa Watanzania waliohusika.

Ninalokwambia nalijua limefanyika jana usiku.
 
Ila kuna wataalam wa kucheza na akili za mabenki, kuna jamaa alichukuaga mkopo akanunua vi Toyota IST vingi kinoma kufanyia UBER af baadae aka-default akawaachia bank IST zao. Wahuni tu ndo wataelewa alipigaje faida
 
Mh Rais naisi Kuna watu wanakudanganya!

Benk zote za Tanzania Kwa Sasa hazitoi mkopo Kwa mtu yyte paspo kufanyikka search kupitia kitu kinaitwa credit bureau ambapo benk inayotaka kukopesha anaacceses ya kupata taarifa za mkopaji dhidi ya tabia zake.
Nakumbuka mfumo uhuu niliwahi utumia kuchunguza mtoto wa kigogo mmoja AMBAYE mama yake alikuwa amejenga apatiment pale mikocheni dogo alitaka 12,000,000/= kumbe Alisha kopa sana na halipi Mbwa yule alitaka anipigie mifukuzwe kazi pale

Nakamzoom dadeki nakuta ni bonge la kimeo yaani lilisha kopa na halilipi kabisa aise difota la hatari ilo
Nasikia zile apartment zmeuzwa(Sina hakika)
Mh Rais aliyekopa mikopo benk Tano na kusepa paspo KUKAMATWA kama ungekuwa na Tiss ningetakata waanzie hapa.
Ofisi za credit bureau zipo karbu Serena kama hawajaama.
Maana mabenk unaweza Kuta wamechoma moto nyaraka Ili kupoteza ushaidi wa watanzania walio usika Ninalo kwambia nalijua limefanyika Jana usku maeeeee.
 
Mh Rais naisi Kuna watu wanakudanganya!

Benk zote za Tanzania Kwa Sasa hazitoi mkopo Kwa mtu yyte paspo kufanyikka search kupitia kitu kinaitwa credit bureau ambapo benk inayotaka kukopesha anaacceses ya kupata taarifa za mkopaji dhidi ya tabia zake.
Nakumbuka mfumo uhuu niliwahi utumia kuchunguza mtoto wa kigogo mmoja AMBAYE mama yake alikuwa amejenga apatiment pale mikocheni dogo alitaka 12,000,000/= kumbe Alisha kopa sana na halipi Mbwa yule alitaka anipigie mifukuzwe kazi pale

Nakamzoom dadeki nakuta ni bonge la kimeo yaani lilisha kopa na halilipi kabisa aise difota la hatari ilo
Nasikia zile apartment zmeuzwa(Sina hakika)
Mh Rais aliyekopa mikopo benk Tano na kusepa paspo KUKAMATWA kama ungekuwa na Tiss ningetakata waanzie hapa.
Ofisi za credit bureau zipo karbu Serena kama hawajaama.
Maana mabenk unaweza Kuta wamechoma moto nyaraka Ili kupoteza ushaidi wa watanzania walio usika Ninalo kwambia nalijua limefanyika Jana usku maeeeee.
Kila sehemu naona watu wanasema raisi anaongopewa, kwa namna hiyo nchi ipo salama?
 
Mh. Rais naisi Kuna watu wanakudanganya, benki zote za Tanzania kwa sasa hazitoi mkopo kwa mtu yoyote paspo kufanyika search kupitia kitu kinaitwa credit bureau, ambapo benki inayotaka kukopesha ana acceses ya kupata taarifa za mkopaji dhidi ya tabia zake.

Nakumbuka mfumo huu niliwahi utumia kuchunguza mtoto wa kigogo mmoja ambaye mama yake alikuwa amejenga appartment pale Mikocheni, dogo alitaka 12,000,000/= kumbe alishakopa sana na halipi, alitaka anipigie nifukuzwe kazi pale.

Nakamwangalia nakuta ni bonge la kimeo, yaani alishakopa na halilipi kabisa, aise default la hatari ilo, nasikia zile apartment zimeuzwa (sina hakika).

Mh. Rais aliyekopa mikopo benk tano na kuondoka nazo pasipo kukamatwa kama ungekuwa na Tiss ningetaka waanzie hapa.

Ofisi za credit bureau zipo karibu na Serena kama hawajahama. Maana mabenki unawezakuta wamechoma moto nyaraka ili kupoteza ushaidi wa Watanzania waliohusika.

Ninalokwambia nalijua limefanyika jana usiku.
Jipange upya kuandika ndiyo ueleweke. Hakuna kitu kinaitwa Credit Bureau. Ila kama una maanisha Credit Reference Bureau hiyo ipo. All in all sidhani kama Credit Reference Bureau ingeweza kudhibiti huyo aliyekopa banks 5 za Tanzania
 
Jipange upya kuandika ndiyo ueleweke. Hakuna kitu kinaitwa Credit Bureau. Ila kama una maanisha Credit Reference Bureau hiyo ipo. All in all sidhani kama Credit Reference Bureau ingeweza kudhibiti huyo aliyekopa banks 5 za Tanzania
Wewe waijua Leo ila zamani iliitwanhivyo chaliiintulia
 
Back
Top Bottom