sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Binafsi nakumbuka nikiwa chuoni Arusha, kuna siku nlikuwa nahamia geto flani.
Basi tripu ya kwanza nilipeleka mapazia, meza na kitanda.
Sasa wakati nimemaliza kufunga kitanda nimechoka hatari, nikanunua bia mbili, kwajili ya mimi na jamaa kanisaidia kufunga kitanda, tulipiga pafu moja tu, kirikuu ikaja tuchukue vitu vingine, tukazifunga safari zetu na vizibo.
Wakati narudi mida ya jioni nikakuta kitasa kama kimepinda, kumbe wezi waliingia aisee!
Walibeba viti viwili na pazia, kilichonita zaidi zile bia waliinywea pale pale wakaiacha chupa tupu, bora wangeziacha nitoe stress za kuibiwa, ule haukuwa uungwana.
Basi tripu ya kwanza nilipeleka mapazia, meza na kitanda.
Sasa wakati nimemaliza kufunga kitanda nimechoka hatari, nikanunua bia mbili, kwajili ya mimi na jamaa kanisaidia kufunga kitanda, tulipiga pafu moja tu, kirikuu ikaja tuchukue vitu vingine, tukazifunga safari zetu na vizibo.
Wakati narudi mida ya jioni nikakuta kitasa kama kimepinda, kumbe wezi waliingia aisee!
Walibeba viti viwili na pazia, kilichonita zaidi zile bia waliinywea pale pale wakaiacha chupa tupu, bora wangeziacha nitoe stress za kuibiwa, ule haukuwa uungwana.