Tuliowahi kumtumia Dada wa damu kumpata mwanamke tukutane hapa

Tuliowahi kumtumia Dada wa damu kumpata mwanamke tukutane hapa

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Vipi katika harakati zako za kusaka demu,na bahati mbaya demu ni rafiki wa Dada ako umewahi kumtuma Dada ako akuunganishe ili umege mzigo?

Mi bwana imewahi kunitokea,nikampenda Dada ambaye alikuwa rafiki na Dada angu

Kwanza siku moja kaja nyumbani kumtafuta Dada ,bahati nzuri Dada hakuwepo,nikamuita nikapiga vina vyangu vikatolewa nje

Nikaamua niropoke kwa Dada ,niunganishe basi Dada

Dada akakubali kuunganisha halafu demu kakubali kiulaini

Siku ya kula nyapu Dada angu ndo alimleta hadi chumbani kwangu na kuniachia mtoto nikala

Ila nilikuwa na aibu kwa Dada asikwambie mtu,sijui huyo shost yake walikuwa wanasimuliana nini kuhusu mechi zetu
 
Sikuunganishwa ila tulikuwa tunakutana kwa sister, nae sister alikuwa ameolew na bro wake...aisee shem alinimind sana maana kuna siku alirudi ghafla sister alikuwa amesafiri akanikuta mzee baba niko na taulo na mdogo wake kavaa kanga tumetulia sebuleni wakati sijawahi hata kukaa masaa mawili hapo kwake hasa akiwepo
 
Sikuunganishwa ila tulikuwa tunakutana kwa sister, nae sister alikuwa ameolew na bro wake...aisee shem alinimind sana maana kuna siku alirudi ghafla sister alikuwa amesafiri akanikuta mzee baba niko na taulo na mdogo wake kavaa kanga tumetulia sebuleni wakati sijawahi hata kukaa masaa mawili hapo kwake hasa akiwepo
Hahahahah ulitia fora
 
Dada yangu geniveros niunganishie kwa rafiki yako please![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Naomba kuwasilisha....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
tapatalk_1531769133585.jpeg
 
Hua anaendea kuniletea mwenyewe kwao na She mimi nakula vyombo tu..
 
siku ssta ako nae akikuomba umuunganishie kwa rafik ako ulete tena thread mkuu!
 
Back
Top Bottom