Tuliowahi kuomba tendo la ndoa kwa wanawake ambao leo hii tunawajutia tukutane hapa

Hapo kwa mdogo wako umenikera Sana hata Kama sote NI mafirauni ila level ya mdogo wako tumbo Moja ulizingua haifikiriki....at least hata angekuwa mtoto wa mama mkubwa wako ila sio damu Moja.
Hujanijibu bro reply yangu flani..
 
Unalaana sio bure
 
Chai
 
Hake shetani ako na kampani ya kutosha duuu[emoji849][emoji849][emoji849]mpaka dadako
 
Mwana mbona unagundu, Kila harakati zako zinakwama mwishoni....
 
Hapo no 4 una laana mkuu
 
Kwa mdogo ako aiseh hapana....ww mshipa wa aibu ushakatika....imebaki na mshipa wa taarabu kua makin usije ukakatwa na wenyewe
 
Unazingua fala wewe we kila uliishia kukubariwa afu ukula
. Sasa unatueleza nini?.. Chai zingine bane hadi zinaboa.[emoji52][emoji52][emoji52]
 
Hapo kwa mdogo wako hata kusoma sikusoma sio unyama kabisa.
 
Hizi nyuzi zimekuwa nyingi sana siku hizi humu, msikasirike ndivyo dunia ilivyo, acheni watu watiririke ile tujifunze na kujiepusha na hizi laana
 
Unajiona una akili sanaaaa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…