Kweli mkuuUkimuona ndugu yako au rafik yako kapata pesa anakuomba ushauri ingia JF tafuta huu uzi mpe ausome wote
Akimaliza halafu akatumia pesa vibaya huyo kaumbwa awe maskini tu
Huu uzi wange uaattach hpo juu tuwe tunarudia rudia kuusoma ni fundisho kwa sisi vijana
Kma una mtoto anza kumzoesha kumpa pocket money awe anapanga matumizi mwenyew ya wiki nzima hata kama yuko day mpe hela ajipangie anunue nini atumie sh ngap kwa siku itamsadia baadae kuwa na ni mtu mweny kupangilia matumiz yake
Nashukuru Mungu sina wenge la pesa sana ila bado sijashika nyingi bado naendelea kujifunza kwa pesa nilizopata mpk saiv bdo sjatumia vibaya sana
Sijawah kufilisika maana sijawah kushika pesa za kusema nimefilisika
DuuuFeedback vipi baada ya miaka miwili ulifanikiwa via kilimo?
SureKuna jamaa mmoja ambae amefanikiwa sana kwenye biashara. Sasa hivi ndo namtumia huyu kupata ushauri na information nyengine.
Nakumbuka aliniambia, usianzishe biashara na hela ya mkopo, chukua mkopo kukuza biashara ndogo ambayo tayari ulishaianza.
[emoji3][emoji3][emoji3]Nina mjomba wangu mmoja hivi alikuwa anaimba imba kwenye hizi bendi za muziki kipindi hicho. Unawataja ma papaa, watu wazito alaf wanakutunza pesa ndefu. Sasa sijui alipigaje hela, ila alikuja kumiliki pesa ndefu. Mjini akawa yeye ndio Don, kila kona ana demu. Muda wote kachomekea, starehe mwanzo mwisho. Baada ya miezi kadhaa akafulia mbaya, hadi soo.
Akapotelea migodini. Huko alikaa kama miaka miwili au mitatu. Akapiga mshindo wa maana. Kurudi town ana hela chafu. Akiingia bar anatoa watu wote, anaikodi bar alaf anabaki na wapambe wake tu. Kuna siku mlevi mmoja wakati anatolewa nje kwavile bar imekodiwa na anko, yule mlevi alitukana. Anko akaomba aitiwe huyo aliyetukana. Kabla hata hajamwangalia usoni, akamuagiza mhudumu ampe yule mlevi kreti za bia sawa na urefu wake. Siku nyingine anaweza akatoa order kuwa wahudumu wote wa bar wabaki na pichu tu na sidiria. Haikupita miaka miwili akafulia mbaya.
Alivyofulia akapotea bila kujua kaenda wapi. Akaja kuibuka baada ya miaka kadhaa. Siku anakuja home kanawiri kichizi, akampa bi mkubwa (mama angu mimi) busness kadi yake ambayo inaonesha yeye ni engeneer na anamiliki kampuni ya ujenzi wa barabara (anko aliishia la saba) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi ameshaoa na ana life zuri tu. Ukimpigia simu story zake ni either yupo njiani anaenda makao makuu Dodoma au yupo njiani anatoka kule. Ukimpigia simu asipopokea, badae akikuchek utaskia alikuwa kwenye kikao na Mama ndio maana hakupokea (hapo anamaanisha mama Salma Kikwete)
Mara ya mwisho kumpigia simu aliniambia "Ngoja naingia Usalama, ntakuchek badae, siunajua ofisi za watu hizi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu akupe maisha marefu anko.
Sio endTuliuza nyumba ya marehenu babu pale kariakoo karibu na faya wajukuu mgao 50ml nakumbuka terminal one lile jengo jekundu na mabenchi tuu.
Nshawai kwenda zenji me na rubani tuu ile company ya costar kama skosei 2000 hiyo
Viduka vya pamba town vilikua vinanijua maaana nikiwa dukani jua wauzaji hata aje AY hawamsikilizi
Nshaenda graduu pale zanaki nikasababisha graduu iharibike coz vurugu kubwa ilitokea mana watoto wote wazuri walikuja nilipokaaa kila mtu anataka nimjue masela wa Azaboy sindio wakamaind kilinuka balaaaaa
Ndio tupo kwenye vikao vya mwisho hapa kumalizia na hii tunakaa maana tumepauka safari hii akili kumkichwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah..Hahhaahahah kweli kabisa maana kama huna hena ukishutuka hata saa nane za usiku unahisi njaa
😂😂😂Ukiwa na hela hii thread unaiona ya kiwaki saaana unasoma kichwa cha habari tu kisha unaachana nayo unahamia kwa kina rikiboy kwenda kuona wenzio jinsi walivyokula kimasihara.
Baada ya kufilisika sasa yaani unaoina ni bonge moja la thread kuliko nyuzi zote humu jamvini, unapitia comments moja baada ya nyingine mpaka ya mwisho bila kuruka hata comment moja.
mkuu unamjua irene uwoya zile pesa anazomwaga hovyo unazani anapata wapi au ana kiwanda cha ku print notikuleta stori chai ndio kunaharibu nyuzi.
Mkuu nakubali lakini sio milioni 50. Wakati nipo chuo kuna bro mmoja tulikuwa tunasoma naye aliletewa Uwoya kwa laki 6,bata na dalali ilitumika kama 1m tu pale Maisha Clubmkuu unamjua irene uwoya zile pesa anazomwaga hovyo unazani anapata wapi au ana kiwanda cha ku print noti
Alikulaa utamu???? Au kukaa nae tu???Mkuu nakubali lakini sio milioni 50. Wakati nipo chuo kuna bro mmoja tulikuwa tunasoma naye aliletewa Uwoya kwa laki 6,bata na dalali ilitumika kama 1m tu pale Maisha Club
alimpiga usiku mmojaAlikulaa utamu???? Au kukaa nae tu???
Hapana. Hatuna elimu ya fedha. Tumepata fedha bila mpango% kubwa tuliofulia humu tatizo ni kuhonga wanawake, au tuhamie CHAPUTA.
Acheni mazee sie wa mererani tusemeje? Chalii yangu inauma hadi inanipa wenge ukikumbuka billion zimepita mikononi na kuishia kwenye starehe kwa matumaini nitapiga nyingi zaidi....mtondogoo huna hata buku!!
Maisha ya imani kwamba kuna kesho nzuri ya kupiga pesa zaidi yanakwamisha hatua za wengi...hasa kada za watu wanaopokea pesa kila siku iwe halali (mfano bodaboda, mafundi, wachimba and wauzaji wa madini etc. au illegal (rushwa kama baadhi ya taasisi nyeti)
Chumaulete hapo ni uongo.. mali bila daftari huisha bila habariNakumbuka miaka hiyo nimemaliza advance najiandaa kwenda chuo kikuu, tukauza nyumba ya urithi ya mzee tukagawana mil50 kila mtu tulikua watatu.
Baada ya kuzipata zile milioni 50
Nilitafuta mjengo kabla sijaenda chuo Mwanza, baada ya kununua hiyo nyumba for approximately 25mil. Remaining balance nikaenda nayo chuo but kiukweli mpaka Leo huwa najiuliza ile pesa iliishaje? Note sikua mtu wa tungi sana wala totoz. But hela zilikuwa zinaisha tu bila kujielewa naweza kuwa na elfu 50 mfukoni nikienda kula hata lunch tu nikija kucheki kwenye wallet nina kama 20k tu.
But hela zilivyokaribia kukata ikabidi nimfuate bi. Mkubwa kuongea nae baada ya kutembea tembea kwa wataalam jibu tulilopewa ni kwamba kuna ndugu alinitupia chuma ulete ili pesa nisiifanyie jambo la maana ikawa inapotea katika mazingira ambayo wew hujitambui.
Nachoshukuru nilinunua nyumba otherwise ningekua sina pakukimbilia.
Laki tano hukumla tigo??? shangazi ezekiel I!!!Mwaka 2012/2013 tulipiga 50M, mimi na msela wangu kwenye company moja ya vinjwaji huko Kanda ya Ziwa! Tukagawana 25M!
Ilikua Ijumaa,nikakata fast jet,faster Dsm,saa kumi na moja tukasepa Mwanza,bondeni hotel pale magomeni ndiyo nikawa nalala pale! Baada ya kufika dsm saa moja hivi za jioni,mwanangu mmoja alikua Sinza Mgabe pale,fanya Mpango Shangazi Ezekiel alichezea koki kwa siku hiyo,hadi asubuhi kwa laki tano,hapo toa gharama ya vinjwaji na chakula plus ticket ya ndege,chumba cha kulala,maana yake 2M inakata hiyo, Basi bwana,kesho yake nikashinda nimelala tu, kozi ya uchovu na Pombe na gegedo! Usiku tukazama Casino pale Palm Beach,tukapigwa laki 5,tukaenda the Grande tukapigwa laki 5,basi hapo Mimi nasema haina shida pesa ipo! Tukaenda The Princess pale IT Plaza,aiseee tukapiga 5M! Jamaa akasema tusepe,hapo nishalewa,kulikua na demu flan hivi Mfilipino,alikua anauza nikasema twende,bei USD 500! Nika change pale pesa,nikawa na USD kama 100 hivi! Jamaa yangu akasepa zake,kaniacha,nikachukua yule demu,nikaenda kula!
Kesho yake nikarudi pekee yangu Casino,si wakanila 3M! Nikaondoka kurudi Hotel,hapo kwenye 25M bado kama 20M hivi!
Nikarudi Mwanza,fanya fujo sana,nikaja shituka nina 10M! Nikanunua kiwanja na furniture za ndani pesa yote kwisha! Nikasema sasa hapa tupige deal tena nianze kujenga,deal likawa dirisha,kikaota,nikasepa zangu shytown! Hangaika sana ramani hazisomi! Ikabidi niende tu kwenye company za wavaa overall! Maisha na pesa ni kama shetani hivi hua anakuja!
Sent using Jamii Forums mobile app