Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Narudi, ngoja niandae kisa kisha nikipaste hapa...
Karibuni kwa shuhuda
Karibuni kwa shuhuda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kuanzisha uzi ingebidi uwe ulishakiandaa Mkuu.Narudi, ngoja niandae kisa kisha nikipaste hapa...
Karibuni kwa shuhuda
Mkutane, mnataka muende wapi?Narudi, ngoja niandae kisa kisha nikipaste hapa...
Karibuni kwa shuhuda
kwa mama samiaMkutane, mnataka muende wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi umejaa uharo!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
😂😂😂😂😂😂Honeyyyyy
Nilisha shikwa na tumbo la kuhala katikati ya mbuga ya Mikumi nikiwa ndani ya basi, ikabidi nimuombe dereva nishuke nikajisaidieNarudi, ngoja niandae kisa kisha nikipaste hapa
Karibuni kwa shuhuda
😂😂 Dah, nimecheka sana kama mjinga. Japokuwa ni story ya kutungaHii ilimtokea ndugu yangu mmoja, alikuwa anatoka Tarime-Mwanza. Akafakamia chakula asbh plus maziwa mgando, sasa kufika katikati ya safari tumbo likaanza kumsumbua mara kuendesha kumepiga hodi, si akaogopa kumwambia konda akachimbe dawa, ( alikuwa hajui kiswahili enzi hizo) ikabidi ajimalize kwenye suruali, mara paap mzigo unashuka chini, ikabidi achukue kamba za viatu afunge suruali chini kwenye miguu mzigo usishuke.
Mda kidogo harufu ikaanza kuenea kwenye gari abiria wakaanza kulalama, jirani yake akamshitukia akamtaja, yaani alishushwa kwenye gari kama Yona alivyotoswa baharini.
Mkuu ,na sisi watu wazima tunapita hapa jaribu kutuheshimu mkuu Wang 😃😃Hii ilimtokea ndugu yangu mmoja, alikuwa anatoka Tarime-Mwanza. Akafakamia chakula asbh plus maziwa mgando, sasa kufika katikati ya safari tumbo likaanza kumsumbua mara kuendesha kumepiga hodi, si akaogopa kumwambia konda akachimbe dawa, ( alikuwa hajui kiswahili enzi hizo) ikabidi ajimalize kwenye suruali, mara paap mzigo unashuka chini, ikabidi achukue kamba za viatu afunge suruali chini kwenye miguu mzigo usishuke.
Mda kidogo harufu ikaanza kuenea kwenye gari abiria wakaanza kulalama, jirani yake akamshitukia akamtaja, yaani alishushwa kwenye gari kama Yona alivyotoswa baharini.
😂😂Jamaa sijui anatuchukuliaje kwa kweliMkuu ,na sisi watu wazima tunapita hapa jaribu kutuheshimu mkuu Wang 😃😃