Mshamba wa kusini JF-Expert Member Joined Jun 30, 2015 Posts 2,857 Reaction score 3,593 May 27, 2024 #21 Dah kwenye necta pepa la physics niliondoka na F Siunajua ule uharisho ambao hauishi kila dakika unajaa makalioni
Dah kwenye necta pepa la physics niliondoka na F Siunajua ule uharisho ambao hauishi kila dakika unajaa makalioni
Melki Wamatukio JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 6,156 Reaction score 10,974 May 27, 2024 Thread starter #22 Mshamba wa kusini said: Dah kwenye necta pepa la physics niliondoka na F Siunajua ule uharisho ambao hauishi kila dakika unajaa makalioni Click to expand... Mkuu, huu muda watu tuko tunapata. Usisababishe tukatapikiana
Mshamba wa kusini said: Dah kwenye necta pepa la physics niliondoka na F Siunajua ule uharisho ambao hauishi kila dakika unajaa makalioni Click to expand... Mkuu, huu muda watu tuko tunapata. Usisababishe tukatapikiana
Ayos JF-Expert Member Joined Sep 25, 2014 Posts 981 Reaction score 2,454 May 27, 2024 #23 Umejitaidi kuzuia umbali wooote ule, ila ukisha ona mlango wa choo tu, swaaaa uvumilivu unakushinda keisha ft squizer
Umejitaidi kuzuia umbali wooote ule, ila ukisha ona mlango wa choo tu, swaaaa uvumilivu unakushinda keisha ft squizer