Tuliowahi kutongoza mademu mijeda wakiwa kwenye gwanda tubadilishane uzoefu

Tuliowahi kutongoza mademu mijeda wakiwa kwenye gwanda tubadilishane uzoefu

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
Hii ni kwa nia njema tu ya kutaka tupeane eksipiriensi ya kutongoza wanawake mijeda hasa wakiwa kwenye zile gwanda zao zile.

Ni jana tu,
Nimeshuka zangu kwenye daladala mitaa ya Survey, nikaingia steshenari kununua peni 1 ya mbili aina ya Obama na plain paper ya Sh. 100 ili niandike barua yangu ya kuomba hizi nafasi za kazi za TANESCO zilizosambaa mitandaoni hizi.

Sasa ile natoka steshenari tu namwona mdada wa makamo, mwenye shepu matata,
Na hips noma kama za sanchoka.

Aliponipita nd'o nikashuhudia video vya bure kabisa,
Yaani wezere linavaibreti ndani ya gwanda mithili ya tetemeko la ardhi lenye kani mnyanyuo ya juu inayoriakti na kani msukumo.

Pale ikabidi nimkimbilie fasta, na uzuri ni kwamba upande aliokuwa anaelekea wa kule Chuo Kikuu cha Ardhi hakukuwa na watu wengi.

Nilipomkaribia,
Nikamsabahi kwa unyenyekevu wa kiwango cha flyover,
Huku nimewekeka mikono kifuani kama 'Baba Paroko' wa Parokia ya Magwepande.
Bila ajizi nikajitambulisha,
Nikamwomba radhi kwa usumbufu,
nikamwambia naomba nimuulizie mambo kadhaa na anipe mwongozo kuhusu hizi nafasi za jeshi zilizotangazwa ili na mimi niombe.

Binti (mjeda) akatabasamu sana,
Akaniambia
"You look so decent guy,
And this country needs people your kind.
You just apply as it has been announced- you'll get selected."

Akaendelea kutabasamu.
Nikaona hapahapa nd'o pa kutupia kipengele cha tongozo hapa!!!
Mdogomdogo nikaanza kumhamisha kwenye mada na kumsogeza tongozoni taratiiibu na mosheni ikabadilika mithili ya chupa ya togwa iliyokuwa juani inapohamishiwa kivulini!!!

Mtoto (mjeda) hakukubali wala hakukataa.
Akaniambia;
"I can see we need to have a time to talk. May I have your address so that I can trace you by tomorrow".

Nikampa namba yangu ya Airtel fasta,
Tukaagana kwa bashasha huku nikiwa nafurahi, nashangilia na kurukaruka!!!

Yaani tangu jana usingizi ni wa mang'amung'amu kichizi nikitafakari ule ujasiri wa kumwendea The Lady Jeda.

Sasa jioni hii kanitext kaniambia niende mitaa flani karibu na kambini kwao, kisha tuondokoke sote kuja kitaa- bado sijamjibu.

---------
Sasa wakuu nipeni eksipiriensi-
Hapo kuna dalili njema hapo?
Hasa kwenye hiki kipengele cha kuitana mitaa ya jirani na kambini??
 
Natamani siku moja nigegede traffic police akiwa kavalia sare yake lakini mimi nikiwa nimevalia ile kofia yake.

Kuna kale ka afande Hadija kembamba keusi pale Mbezi Louis huwa natamani hili tukio awe ni yeye.

Afande Hajida kama upo humu JF naomba ni PM au kama kuna mtu ana namba zake au anamjua naomba namba au naomba mumwambie
 
mie nilimpata askari baada ya kunikataza kukatisha eneo flani eti saa 12 nikasepa bila kipingamizi.akaniita nije nipite maana naonekana mstaarabu sana

badala ya kupita nikaanzisha stori, mara namba iyo siku kadhaa ikawa ni mtanange tu.

kuna uzi wa walio lala selo nililisemea hili,nilipotaka tuachane akanipa kesi ya wizi nikalala selo kunitoa sharti nikubali kuendelea nae.

nenda Mkuu ni watu wastarabu ila mawenge hayakosekani
 
Jiepushe kwenda karibu na maeneo yake ya kazi kwa kipindi hiki cha uchumba, maana ukikutana na aliyekataliwa na huyo binti, hawachaguagi pa kupiga wala adhabu ya kupewa.
Kama hawa ndugu zetu Polisi jamii wanapenda kutumia ule usemi wao ''alikuwa anapambana na polisi tukalishinda '', mpaka uje ueleweke ulikuwa unamaana gani, muda huo utakuwa ntie maji ntie maji.
 
Nikiwa kijana niliwahi mkuta mdada mgeda akiwa na chemba langu, wako kama walivyotoka kuzaliwa, nikatungua zile suti za mgeda nikatambaa nazo. Jaza matokeo. Ilikuwa tbr miaka mingi nyuma.
 
Back
Top Bottom