Tuliowahi kutongoza mademu mijeda wakiwa kwenye gwanda tubadilishane uzoefu

Nimesoma heading to nimeangua kicheko.
JF raha kwakweli [emoji23] [emoji23]
 
Pia ushauri mwengine, ukishakuwa na hawa watu jiepushe kuwa na michepuko mingi. Maana wakishastukia kuwa unawagonganisha, kuna wengine kwa kushirikiana na mapoti wenzie wanaweza wakakufanya kitu mbaya ambayo huta kaa kusahau maishani mwako.

Japo kwa sasa tumshukuru sana mkuu Mwamnyange, naimani alilibadirisha jeshi kwa kiasi kikubwa sana, maana miaka ya nyuma ilikuwa hata mkigomba baa, mjeda anakwambia utanitambua, anaenda kuwafuata wajeda wenzake na kukuchezesha kichapo cha nguvu.
 
Ila kukubaliwa kirahisi hivo uwe makini usijeenda vishwa dela
 
Hahaahaa kweli nilipopita uliza kiatu!!!!
Mkuu hiyo kitu iko poa Sana cha msingi usimchezee mzee utajuta...''utakunywa maji ya kunawa na unawe maji ya kunywa!!!''[emoji23][emoji23]
 
Hawa watu wana adhabu za ajabu kweli!Kuna jamaa aliwahi pewa adhabu ya kushusha kokoto lori nzima kwa kuokota moja moja kama punje za mahindi!na waligombania tu dem mjini!
Hapo lazima jasho la pua likutoke!!!!
Kuna ambao walipigina ni wanafunzi wa secondary, kufika kule wakapewa kiboko kila mmoja amchape mwenzake , akichapa moja anampa mwenzie kiboko amchape!!!! Ilikuwa shughuli
 
Nimecheka sana eti nikiwa nimevaa kofia
 
Unadhani mwanamke mwenye mtikisiko uliousifia umemuona mwenyewe? Usiende anapokuita, usije ukajitafutia matatizo.
 
Nikiwa kijana niliwahi mkuta mdada mgeda akiwa na chemba langu, wako kama walivyotoka kuzaliwa, nikatungua zile suti za mgeda nikatambaa nazo. Jaza matokeo. Ilikuwa tbr miaka mingi nyuma.
Hivi wee ni DUME au umemix Id?? Mimi mawazo yangu yoye wee ni jike.
Au sijakuelewa!
 
Kwa experience
..
....... wajeda wa kike wanapenda sana kutongozwa na raia wa kawaida kama wao wanavoita "raia" na hawezi chomoa trust me
Muhimu usiingie ndani ya kambi ....we cheza za uraian utaenjoy show boy .....
 
Wakati nasoma high school Niko form five kulikuwa na sister du mmoja alikuwa kidato cha pili. Tulikuwa tunafahamiana wakati tukiwa Shule japo hatukuwahi kudate. Siku mmoja nikiwa nikiwa Magomeni nikakutana naye akiwa hana uniformu akiwa anapendeza zaidi tukaongea kwa muda mfupi akanambia kwamba yuko jeshini. Niliumia sana baada ya kuniambia kuwa jeshini maana kwa mwonekano aliyokuwanayo hakupaswa kuwa kule. Tukabadilishana namba tukaanza mahusiano siku ya kwanza tulipokutana kwa ajili ya mgegedo nilizidi kuumia kwamba maafande wanafaidi. Ukweli ni kwamba nilinjoy sana, nilimshawishi sana aachane na jeshi ili tuonane maana nilimweleza ukweli kuhusu nafsi yangu kwamba sikufurahia kumuona akiwa katika kazi ya jeshi. Tuliendelea naye kwa muda mrefu naye alikolea sana kwangu maana mpaka nilikuwa na access na account zake. Baadaye alinambia kuwa amepata mchumba mana Mimi nilikuwa nimempa sharti ambalo hakulipenda niliridhia kwa shingo. Ameolewa na raia mwenzangu na wana watoto wawili. Hata Leo bado anasema ananimiss najitahidi kumkwepa kuna wakati alinibana sikuchomoka nikakumbushia enzi zetu. Pamoja na kuzaa na umri kuwa umeenda bado najuta kwa nini nilimwaacha maana ladha yake inaongezeka. Yeye naye huwa ananiambia kuwa pamoja kwamba anaheshimu ndoa hatanitupa kamwe. Kweli amenifanya nikiwaona maafande Wa kike damu yangu isisimuke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…