Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Umeachana nae? Tupe mkasa ulivoendelea bana.
Dah mi juzi nimetoka kwa mchepuko nikawa nautumia meseji ya kumshukuru kwa kunikatia kiuno vizuri...dah mara ile msg naona inaenda kwa wife, alipoisoma jicho alilonikata nlitamani kufa yaliyoendelea ni siri yangu
 
Mkuu nimecheka sana dah....asante kwa kufanya usiku wangu murua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee kukosea Msg iliwahi nikuta niliandika Msg ndefu ya mahaba mwisho nikaandika Jina la demu mwingine na Kumtumia demu mwingine...[emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee kijana ulikanyaga waya wa umeme... Unataka ugongee adaa
Kaka acha tu si unajua hela za kupewaga zinavyokuwa zinatia hamasa kuzitumbua halafu unajipa moyo utarudisha tu....miaka mingi lkn huko nyuma unaweza ku imagine ukipewa laki Tisa unavyojiona don.
 
a
hahaaaahaaa...yani dingi anakupa hela af unasema kuna mtu namdai kanilipa ?? angekuua wallah
 
haya mambo ya kumsave demu "mamy,,,"(tina,happy..or pendo) na mama kumsave "mamy" yalishaniponza...ile nyege zimenishka na mtoto wa watu anamori,,nikaandka, baby uwahi guest leo ntakukunja kama kambale..badala ya kusend kwa mamy tina,,nkasend kwa "mamy" ambae ni mama....asa nashangaa majibu hayaji na haikua smartphone..na huku home nlisem.. naenda church..weee nlichokaa
 
Ujinga mwingne ni wasap, ile ku set popup msg, unatype unamjib huyu kwenye ku send ishaingia nyingnee inaungaaaa,
haya mambo hayaaa banaa, waweza umuombe dingi yako papuchuu, tena unafanya kumbembelezaa, unamwambia usiogopeee hawatajuaaa.
Ha ha ha, hii kali
🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii noumaaaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…