Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

Nilikuwa nakatongaza kademu kitaani nimekapanga vizuri nikawa naelekea home nimebakiza kama mita mia tatu hivi kufika si nikamtumia mshua bwanaa bwanaaa niligeuka farasi sjui Lamborghini niliamsha yaan sms inafika simu inalia na mimi naingia bahati nzuri ilikuwa sebulen dingi anatizama habari nikajipigisha simu nikafanya kama mtu ananipigia kunitajia no nikaichukua kama nacopy namba nikafuta sms
 
Aiseeee, ww noma
 
boya ww nimecheka kinoma eti " umnunulie dingi chipsi na gauni " hahahahaha
 
sasa mama ndani si anamwambia mzee tu wanacheeeeka alafu mzee anakausha tu. wazazi wanajua kula kavu kumbe kila kitu wanajua.
 
Wakati nipo O level nilikuwa na mahusiano na binamu yangu wa kike.Sasa kwa kuwa kipindi hiko hatukuwa na simu tulikuwa tunakuna usiku wakati wa kupiga msuli huku tunachat kwa kuandikiana kwenye daftari yani anaandika yeye kisha nanipa na Mimi namjibu kuepusha wazazi wasitusikie tukiongea tunajifanya bize kusoma kumbe tunapanga mipango ya kutiana.Sasa siku moja sijui tulijisahau vipi ebwanaeeee lile daftar likakamatwa na aunt duuu yani nilifedheheka sana mpaka Leo japo aunt hujawah kunambia ila ninapokuwa sipo huwa ananiongelea kuhusu huo mkasa dash ya nilijihisi aibu sana
 
yaaani dingi unamwandikia mambo mremboo aloooo sio mchezo waweza pigwa pigo cha mbwa koko
 
Kaaaaaah
 
ulicheza kama pele
 
ulikimbia kwa speed ya mwanga kama nakuona vile boya ulivyojikunjua.
 
Hii kali sanaaaa,pesa zikawekwa bank uendelee kutamba sasa...
 
Daaah umenkumbusha enzi nnamiaka 16 ndo nnaanza anza kuvijua videmu
Bas nkAwa nnakanokia fulan ka zamani hivi
Humo ndan kama namba kama kumi hivi
Basi nipozangu geto nnachart na kadem kangu nakapa maneno matamu tam yakitoto toto.. Yale kumbe nmesend msg kwa mzee bila kujua....... Nkaenda kwenye sebule yao inayopakana na master bedroom yao fast nikagonga nkamwambia mzee samahani nnashid na sim yakk dakika moja akanipa
Ile nnashika tu na msg ikwa ndo inaingia chaaaaaaaap!!!! Nkafuta nkawapa
Hapo tayari nkawa nakaz yakufua boxa na surual.... Nadhan mmeelew kilichofanyikap[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji22][emoji1][emoji4][emoji3][emoji3][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…