Tuliowahi kuvuniwa mazao yetu shambani kimaajabu tukutane hapa tafadhali tutoe sumu

Tuliowahi kuvuniwa mazao yetu shambani kimaajabu tukutane hapa tafadhali tutoe sumu

Saint_Mwakyoma

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
865
Reaction score
1,208
Kilimo ni kweli kina kipato kikubwa pia ni uti wa mgongo wa taifa lakini kilimo narudia kilimo kina vitimbi vingi kwa ground.

Ukifika mashambani kunatisha mno wivu, chuki fitina na imani za ajabu zimejaa haswa unapolima kilimo cha biashara sio kile cha gunia tatu au nne.

Wote tuliowaipitiwa na miujiza ya binadamu tukutane jamani tusafishane macho juu ya hizi darkside za kilimo cha kibongo.
 
Kwanza upo mkoa gani mkuu navojua mimi maswala ya uchawi wa kilimo yapo Sumbawanga, Morogoro, Pwani, Tanga, Rukwa, na Njombe sidhani kama utalima dodoma na ukame wetu mtu ahangaike kukuroga huku dodoma na singida mchawi ni hali ya hewa halafu sisi hata mbolea bei hatuijui
 
Kwenye mashamba ya mikorosho na ufuta ndio balaa huko,ndugu zangu wamakonde wanaoenda kulima ufuta mkoa wa lindi huwa wanajipiga sana kwenye mashamba ya watu wanapoenda kuyaharibu
 
Kwanza upo mkoa gani mkuu navojua mimi maswala ya uchawi wa kilimo yapo Sumbawanga, Morogoro, Pwani, Tanga, Rukwa, na Njombe sidhani kama utalima dodoma na ukame wetu mtu ahangaike kukuroga huku dodoma na singida mchawi ni hali ya hewa halafu sisi hata mbolea bei hatuijui
Kiboko yao ni Ruvuma sasa, mazao yanaenuliwa mchana kweupeee, famchezo nn na kiyenule. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah msimu huu tu nmeambulia patupu hekar 4 za ufuta nimerudia kupanda zaid ya mara 4 af mbegu nanunua mashamba nimekodi nalipa wafanyakaz ikabidi niache tu kwani mwishon walikuja panzi wadogo weusi wakala mche mche ndo mmea umeota tu, Ni maeneo ya Kabuku Tanga 😭.. badae nikahamia Singida kulima alzeti nako.,..

Itaendelea (uzi maalumu)
 
Back
Top Bottom