Tuliowahi kuwa "madomo zege" tujuane hapa

Tuliowahi kuwa "madomo zege" tujuane hapa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Nakumbuka miaka ya nyuma nilimpendaga binti mmoja, sasa kimbembe kilikuwa kumwambua nakupenda.

Kuna siku nikasema hapana kumwambia ana kwa ana nimeshindwa ngoja nimwandikie barua, nikaingia zangu chimbo nikaiandika barua yangu nikaitia kwenye baasha nikampa dogo ampelekee.

Dogo naye kufika kwako kamkuta hayupo si akampa baba yake, yule mzee alikuwa mkorofi ni jazba huyu kijana ananiharibia binti yangu ameanza kumfundisha mambo ya kihuni.

Majirani wote wakatoka nje, bi mkubwa akaniambia ukitoka tu umekwisha nikaingia zangu kwenye uvungu wa kitanda nikakaa kimya 😂😂😂.

Bi mkubwa akatoka fulani hayupo, basi baba mkwe wangu kwa hasira mkanye mwanao, huyo akasepa nilimuuzia msala mtoto wa watu alichezea viboko vya kutosha lakini mwisho wa siku tulikuja kuwa wapenzi.
 
Hapa huwapati aisee yaani wajiseme udhaifu sizani
 
Hujamalizia kisa chako, mkawa wapenzi kwa njia gani sasa ikiwa ulikua domo zege au domo zipu.
 
nkiwa sekondari class mi ndo nlikua mdg kuliko wote, siku moja nkasakiziwa demu alikua mzuri tu sema mkubwa kwangu km miaka miwili hivi duh nlihangaika kweli siku hiyo mpk demu mwenyew ndo akawa ananisaidia kunyoosha maelezo aisee!

leo hii ni rafiki yangu mkubwa na mmoja wa watu muhimu sn kwe maisha yangu
 
nkiwa sekondari class mi ndo nlikua mdg kuliko wote, siku moja nkasakiziwa demu alikua mzuri tu sema mkubwa kwangu km miaka miwili hivi duh nlihangaika kweli siku hiyo mpk demu mwenyew ndo akawa ananisaidia kunyoosha maelezo aisee! leo hii ni rafiki yangu mkubwa na mmoja wa watu muhimu sn kwe maisha yangu
Ulimkula au amebaki kuwa rafiki mkubwa tu..?😂
 
Write your reply...
nkiwa sekondari class mi ndo nlikua mdg kuliko wote, siku moja nkasakiziwa demu alikua mzuri tu sema mkubwa kwangu km miaka miwili hivi duh nlihangaika kweli siku hiyo mpk demu mwenyew ndo akawa ananisaidia kunyoosha maelezo aisee! leo hii ni rafiki yangu mkubwa na mmoja wa watu muhimu sn kwe maisha yangu
Hahaha alikuchomolea sio?
 
Write your reply...
Hahaha alikuchomolea sio?
hpn kk alikua ananikubali ili ilitakiwa mi mwenyew nitiririke so alipoona naanza kukwamakwama nakupotea akawa ananirudisha kwe mstari dah ilikuwa noma sana
 
nlimkula enzi hizo tukapotezana after skuli then tukaja kukutana miaka mingi baadae kwe michongo ya maisha akawa muhimu sana aisee kiasi siwez andika equation ya maisha yangu bila yeye
Omba upashe kiporo.
 
nlimkula enzi hizo tukapotezana after skuli then tukaja kukutana miaka mingi baadae kwe michongo ya maisha akawa muhimu sana aisee kiasi siwez andika equation ya maisha yangu bila yeye
Msalimu
 
M
Hujamalizia kisa chako, mkawa wapenzi kwa njia gani sasa ikiwa ulikua domo zege au domo zipu.
Kuna nilijitutumua kumwambia nakupenda aiseeeh jasho lilinitoka, hapa ndio ulikuwa mwanzo wa ujasiri, japo hakukubali pale pale niliendelea kumbembeleza mwisho wa siku akakubali.
 
Back
Top Bottom