Tuliowahi kuwa vibaka au majambazi tukutane hapa

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Maisha yana mengi.

Binadamu tunapitoa changamoto nyingi za maisha katika kujipatia kipato.

Kama uliwahi kuwa kibaka ama jambazi tukutane hapa.

Niliwahi kukwapua elfu 5 wakati nasoma form five huko Unyanyembe. Mshua hakunitumia hela kitambo, kajamaa kapole hivi kana mihela nikakavizia kakiwa kamelala, buku 5 nikaondoka nayo.

Kama umewahi kukwapua , kuiba au kupora cha mwenzio tafadhari tulumbushane hapa ili watu wapate tahadhari.

Alamsiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
She.it

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ngoja ccm itakuja hapa Hivi punde kutupa uzoefu wake kwenye ukwapuaji wa kura na pesa taslim+maliasili,najua hata wewe umejifunzia huko maana ulikuwa green guard,na asilimia tisini ya green guard huokotwa Jela kwa sifa ya kuwa hodari kwa uhalifu(muhalifu sugu unayeogopwa mtaani) kama akina Mjusi and many more!
 
Mimi kuna jamaa mmoja wa Kisukuma tupo boarding school basi Mshua wake akampigia akawa anamtajia namba za vocha ,kwenye double decker niko zangu juu naingiza tu ,nikamaliza then nikazima simu nikajifanya nakoroma,kipindi hicho line haisajiliwi wala nini

Kuweka kwenye simu yake nasikia kilio tu vocha imetumika

Kuanzia siku hiyo akajifunza kuacha show off za kiduanzi eti wakishua basi dingi anamtumia vocha kila mtu ajue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah najuta sana nakumbuka miaka ya 2003 wakati tunacheza kuna mwenzetu alikua amepewa sh 1000 na mama yake apelele kwenye vyama vyao wakati tunacheza alidondosha mnyamwezi nikaibana dogo tafuta wapi ila kumbe wkt naiokota kuna watu waliniona walikuja na mama yake nikabana wala sikusema cha ajabu badae mama yangu wa kambo aliniongelesha kistaarabu kumbe naye alikua na shida na iyo pesa nikampatia sijui aliifanyia nini?

Kingine nakumbuka enzi za advance tuliiba mafuta ya genereta la shule madum matatu tukauza jambo lilipelekea laliyekua stookeeper kufukuzwa shule msala ukaja jamaa tuliyemuuzia aligoma kutulipa tukaanzisha vurugu akaja kutushtaki shuleni kilichosaidia mkuu alikua mwanetu aliyamaliza kijanja ila ilibid jamaa tumpoze yasifike kwa wana bodi ya shule
 
Nakumbuka 2006 , Mwanza Mjimwema jirani yetu police hadi leo hajui kama miongoni mwa waliomvamia usiku hadi akasabibisha afuge mbwa mm ni mmoja wapo wakati tunatoka kwake baada ya kukosa tukawa tunarudi kupitia njia ya kuelekea Mkombozi tukakutana na mzee mmoja anaitwa Ramso anatuuliza nasikia kelele watu wanaita wezi wezi bila kujua kua sie ndio wezi tukamwambia wameelekea huku chini twende nae akatufuata nakumbuka nilimpiga panga la nyuma ya shingo hadi leo ana alama nikiiona hua naumia saana maana niliokoka baada ya kumpenda bint mlokole,hilo ni moja kati ya matukio niliofanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸƒπŸΎ Ngoja nijisogeze naweza kukamata mwizi wangu humuπŸ‘πŸ‘
 
Lazima roho ikuume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaaaaa HEAVY.
 
Eeeh hee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimkwapua mdada mmoja maeneo ya ubungo terminal pale ni shukuru trafk aliekuwa mataa nikaenda mkumbatia Mara difenda hyo nikapelekwa central kuna askar wa kike nae kajipendekeza nikamliza kilicho nilikuta wale askar magereza waliniuuguza vizuri mpka nikapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…