Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ilionana naye physical?Wajuba tuliowahi kwenda kwa nabii flora Sala Sala tujuane,Kuna wakati katika harakati za kiimani nikajikuta kwa huyu dada pale Sala sale mbezi ,wakati huo watu kumwona unapanga foleni kubwa
Hahahaha!.Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo
Kabisa kimtaani alikuwa sahihi ila kwa kiongozi wa dini alipuyangaHahahaha!.
Alikuwa sahihi kiubinadamu. Ila kiimani alikosea sana. Hahahaha,nimecheka sana Mkuu.
Dah, Zumaridi yuko Mwanza, pisi kali sana yule dada namzimia sanaFlora ndio zumaridi au ni mwingine?
Uliacha kusali au uliacha kusali kwake?Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo
Yupo Single auWajuba tuliowahi kwenda kwa nabii flora Sala Sala tujuane,Kuna wakati katika harakati za kiimani nikajikuta kwa huyu dada pale Sala sale mbezi ,wakati huo watu kumwona unapanga foleni kubwa!
Mkuu acha kumsingizia mama wa watu jamani 😂😂😂Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo
Khee, pisi kali yule?Dah,zumaridi yuko mwanza,pisi kali sana yule dada namzimia sana
Nikipelekwa na demu mmoja ana sali pale tukaenda kumuona kama wachumba akaturuhusu kutest mitambo kabla ya ndoa ili tuone kama tunatoshana ,nikaacha kusali siku hiyo hiyo