Tulioweka bembea ndani ya nyumba tukutane hapa

Wahindi wanafanyaga sana hii, familia kabla haijatawanyika asubuhi wanakusanyika hapo wanasali na kabla ya kulala.
Na mimi ndo ndoto yangu mamii...
Kusalia sebleni sio kabisa!
 
Na mimi ndo ndoto yangu mamii...
Kusalia sebleni sio kabisa!

Mungu wako na asikie haja ya moyo wako.

Kuna wimbo nauimba hapa, yaani ukiusikiliza huo eneo la kufanyia sala au maombi au ibada waalah ni zaidi ya sala. Upako trillion.
 
Mlianza kuweka vyoo chumbani eti mnaita master sisi wazee tukakausha tu, sasaiv mnatuwekea bembea haya sawen tu
 
Mungu wako na asikie haja ya moyo wako.

Kuna wimbo nauimba hapa, yaani ukiusikiliza huo eneo la kufanyia sala au maombi au ibada waalah ni zaidi ya sala. Upako trillion.
Amen amen
 
Mungu wako na asikie haja ya moyo wako.

Kuna wimbo nauimba hapa, yaani ukiusikiliza huo eneo la kufanyia sala au maombi au ibada waalah ni zaidi ya sala. Upako trillion.
Watoto hawataelewa
Wakati tunaimba mapambio wao watakuwa wanawaza remote ya tv na cartoon
 
Kwangu nimeweka ila sio chumbani, nimeweka play ground ndogo ya watoto na nimeweka michezo mbalimbali yakiwemo mabembea,
Ndoto niliyokuwa nayo kwa mda mrefu ni kuweka bembea chumbani kwangu.
Ndoto nimeitimizi.,bembea ina raha yake
 
Umefunga bembea chumbani🤔🤔🤔🤔

nilitaka niseme bange....lakini muda mwingine naona tunaisingizia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…