Marahaba mdogo wangu hujambo, jambo gani tena mdogo wangu?shkamoo. naomba nije pm nkuambie jambo
Sijambo .Niruhusu nije nkuambie plizMarahaba mdogo wangu hujambo, jambo gani tena mdogo wangu?
Mara nyingi tunayoyaongea humu,siyo tunayoya practice in real life,wakati mwingine ni changamsha genge tu!kumbe humu wengi watoto... no wonder tunaongea tunavyo ongeaga... sishangai tena watu wanaogopa ku lipa bill, hawaelewi maana ya kumspoil mwenza wako... yanii uwoga wa kitoto kibaoo,... Well wanaotakiwa kukua mkifikia karibuni utuuzimani...
Hapana niambie tu hapa hapa, kwani naamini si la magendo kuwa huru.Sijambo .Niruhusu nije nkuambie pliz
Hahaaaa. Huu uzi haunihusu mie bana Mangi.Huna mpango wa kuolewa?
Nakwambia ndoa za kufunga mtaa hazidumu,tukafunga zetu ya kimya kimyaKimya kimya[emoji23][emoji23]naona hamkutaka makuu nyie...
Tualike kwako basi tuje kukutembeleaHahhaa mmetisha sanaa[emoji122]
kukaza vyuma hakuna uhusiano na kuoa...huko ni kutafuta kichaka tu cha kujificha...Ngoja waje wenzako,sisi wahenga hii haituhusu nadhani.
😀😀
Ooh,jambo jema hili....karibuni mnooo..mnipe siku ya kuja kwenu tafadhali[emoji4]Tualike kwako basi tuje kukutembelea
[emoji4][emoji4][emoji4]yenu na idumu milele...Nakwambia ndoa za kufunga mtaa hazidumu,tukafunga zetu ya kimya kimya
na iwe hivyo....Mara nyingi tunayoyaongea humu,siyo tunayoya practice in real life,wakati mwingine ni changamsha genge tu!
Unasikilizia nni chief ?Hahah!! Wengine bado wengine tayari mkuu ila hali ilivyo kwasasa ni bora kusikilizia kidogo
Sijajua kwanini wabongo tunapenda sana salama za kuabudiwa.Wtf...! Dogo amkia kwanza!
Wazee wanaanzia miaka mingapi ?Uzi wa watoto huu, wazee hautufai.
AiseeehHadi wewe mtoa mada wa 90s?basi jf ina watoto wengi.
Wanaanzia Miaka 45 kama niliyonayoWazee wanaanzia miaka mingapi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naitafuta 30 now na vyuma vimekaza hatari! na bora ningejiongeza kabla jiwe hajaingia madarakani! hivi vyuma ningekomaa navyo nikiwa ndani ya ndoa