Tuliozaliwa mapacha (twins)tukutane hapa tupeane michapo

Karucee Unafurahije? mimi dogo si mgomvi kabisa na akiona wenzie wanapigana yeye anaenda mshika yule anayempenda, kuna mtoto rika lake mgomvi sana na ndugu zake huwa wanamfurahia tabia yake ya ugomvi, we siku moja dogo akamuamulia alipiga tembeza kichapo, wakataka kuamulia nikasema hakuna muache msukuma leo anaweka heshima.
Mtoto wa 2 na wa 3 nataka niwabebanishe kama wako nitachukua uzoefu kwako.
Ha
 
Siko pacha lakini niliyemfuata tukiwa wadogo tulikuwa tunawaza na kuongea pamoja, yaani kile anachowaza yeye ndicho ninachowaza Mimi hivyo ukiwa na sisi utafurahi tu maana unaweza fikiri tunafanya maigizo, kwa Sasa tupo mbali mbali lakini tukikaa pamoja zaidi ya saa vituko vinaanza tatizo na sauti zinafanana hata wazazi hawawezi kutofautisha, RIP baba yangu yeye hakuficha alisema kabisa kama yeye yupo ndani anaongea na wa nje mmoja wetu ni lazima ujitaje jina usipotaja hajua kaongea na nani, mama yeye tulikuwa tunamtania tu wote tupo pamoja tunaongea kwa kupokezana baadae tunajikuta tumejibu wote swali anaanza kugomba, mmoja ni ke na mwingine ni me

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapacha shit tu.

Haswa hawa wa kike na kiume.

Kwa alichonifanyia? Shit tu
 
Write your reply..MI DOTTO kina kurwa ni wakorofo sana nlikua naitwa kila mara ofisini kwa waalim kurwa alikua mkorofi sana napewa taarifa npelekee wazazi kabla atujafika ananletea varangati balaaa
 
Hahaha.

Wabebanishe. Raha sana wanapeana company. Ila wakiumwa unachanganyikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…