Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Ramadhan Ng’azi Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani alisema hayo kwenye redio ya Crown FM.
“Tuliporuhusu bodaboda kuwa usafiri wa kubeba abiria tulikosea, utaratibu uliotumika haukuwa sahihi ndio chanzo cha matatizo tuliyonayo sasa, madereva".
Je, kama vyombo vya polisi na idara zenu mkubari kuwa mnatumika kisiasa na haya ndiyo majuto yenu kuwa kazi zenu zinaingiliwa kisiasa.
Leo unawezaje kuzuia bodaboda wakati imeshakuwa sehemu za kuwadanganya mfano huu.
Serikali iliyoshindwa kutengeneza kodi nzuri angalu kila sehemu kodi za gari zikawa rafiki katika kuingiza na kununua. Miundo mbinu ni mibovu na mipango miji ambayo inafanya huduma za magari kutofika huko je itakuwaje?
JE, KWA SASA TUKUBARI SIASA ZA CCM NDIO CHANZO CHA MATATIZO
“Tuliporuhusu bodaboda kuwa usafiri wa kubeba abiria tulikosea, utaratibu uliotumika haukuwa sahihi ndio chanzo cha matatizo tuliyonayo sasa, madereva".
Je, kama vyombo vya polisi na idara zenu mkubari kuwa mnatumika kisiasa na haya ndiyo majuto yenu kuwa kazi zenu zinaingiliwa kisiasa.
Leo unawezaje kuzuia bodaboda wakati imeshakuwa sehemu za kuwadanganya mfano huu.
Serikali iliyoshindwa kutengeneza kodi nzuri angalu kila sehemu kodi za gari zikawa rafiki katika kuingiza na kununua. Miundo mbinu ni mibovu na mipango miji ambayo inafanya huduma za magari kutofika huko je itakuwaje?
JE, KWA SASA TUKUBARI SIASA ZA CCM NDIO CHANZO CHA MATATIZO