Katika Sera mbovu Viongozi walizokosea, ni hii Sera ya 50 kwa 50!
Mtakumbuka mwanzoni mwa miaka ya tisini na mapema miaka ya 2000; Sera ya elimu ilianza kuwabeba wanawake kwenye ufaulu!
Wanawake waliopata madaraja ya chini ya ufaulu (lower division), walipewa kipaumbele cha kuchaguliwa kuendelea na masomo ya juu kama upendeleo ukilinganisha na wanaume!
Matokeo
Matunda yalianza kuonekana katika utawala wa Mkapa baada ya nafasi nyingi za ajira kuanza kupewa wanawake!
Lakini tafti nyingi zimefanywa na kuonyesha kuwa wanawake wengi waliopewa fursa zimegeuka kichomi katika ustawi wa jamii kutokana na familia nyingi kusambaratika!
Pili; utafiti unaonyesha mwanaume aliye oa mwanamke aliyeajiliwa huishi na mke huyo kwa mvutano mkubwa jambo ambalo huchangia hata mauaji kwenye baadhi ya wanandoa.
Tatu; Utafiti unadhihirisha kwamba, kadri mwanaume anavyopata pesa huwaza kumfurahisha mwanamke zaidi kuliko ambavyo mwanamke apatapo pesa huwaza kuishi mwenyewe mbali na mwanaume!
Hivyo ni bora zaidi kuwapa nafasi vijana wa kiume ili waweze kulea wake zao kuliko kuwapa nafasi wanawake ambao mipango yao ni kujitenga na waume zao wanapopata pesa!
Hata YESU Alipokuwa anateuwa mitume, aliteuwa Wanaume ili wanawake wabaki kuwa wasaidizi!
Bomu la haki sawa kwa wanawake ni Kansa ya kujitakia itakayotafna kizazi hadi kizazi!
Mtakumbuka mwanzoni mwa miaka ya tisini na mapema miaka ya 2000; Sera ya elimu ilianza kuwabeba wanawake kwenye ufaulu!
Wanawake waliopata madaraja ya chini ya ufaulu (lower division), walipewa kipaumbele cha kuchaguliwa kuendelea na masomo ya juu kama upendeleo ukilinganisha na wanaume!
Matokeo
Matunda yalianza kuonekana katika utawala wa Mkapa baada ya nafasi nyingi za ajira kuanza kupewa wanawake!
Lakini tafti nyingi zimefanywa na kuonyesha kuwa wanawake wengi waliopewa fursa zimegeuka kichomi katika ustawi wa jamii kutokana na familia nyingi kusambaratika!
Pili; utafiti unaonyesha mwanaume aliye oa mwanamke aliyeajiliwa huishi na mke huyo kwa mvutano mkubwa jambo ambalo huchangia hata mauaji kwenye baadhi ya wanandoa.
Tatu; Utafiti unadhihirisha kwamba, kadri mwanaume anavyopata pesa huwaza kumfurahisha mwanamke zaidi kuliko ambavyo mwanamke apatapo pesa huwaza kuishi mwenyewe mbali na mwanaume!
Hivyo ni bora zaidi kuwapa nafasi vijana wa kiume ili waweze kulea wake zao kuliko kuwapa nafasi wanawake ambao mipango yao ni kujitenga na waume zao wanapopata pesa!
Hata YESU Alipokuwa anateuwa mitume, aliteuwa Wanaume ili wanawake wabaki kuwa wasaidizi!
Bomu la haki sawa kwa wanawake ni Kansa ya kujitakia itakayotafna kizazi hadi kizazi!