Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Wanasiasa wa upinzani huwa hawaaminiki hasa africa bara la kiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati uraisi na uanasheria mkuu walimpaBaada ya lisu kuwaumbua, wanamuita mropokaji akati huko nyuma hajawahi kutoa siri za chama.
Kwa kweli lisu ameyafunua, kule chadema jamejaa teleMafisadi na machawa yameungana kumshambulia Lissu
akishinda sidhani kama atakuwa na moral authority au audacity ya kuwasema madikteta wenzake.Mbowe ana hekima na busara sn
Saivi wanadai hana vigezo kisa kagusa kiti cha mbowe.Wakati uraisi na uanasheria mkuu walimpa
Duh!View attachment 3180187DJ sasa anaelekea kwa lipumba, hayati mrema na ndugu yao Odinga.
Wanasiasa wa upinzani huwa hawaaminiki hasa africa bara la kiza.
Hatari sana, unaweza kuwa makamu mwenyekiti ila huna sifa za kuwa mwenyekitiSaivi wanadai hana vigezo kisa kagusa kiti cha mbowe.
INASHANGAZA SANA.
Interesting.Mbowe ni dikteta bila jeshi wala policcm.
Hili la kugombea aachane naoakishinda sidhani kama atakuwa na moral authority au audacity ya kuwasema madikteta wenzake.
Aachane nalo ili aende wapi?Hili la kugombea aachane nao
Siyo mali ya mumeo?Aachane nalo ili aende wapi?
Hiki chama ni mali yake.
Mimi Baba yako kuwa na adabu.Siyo mali ya mumeo?
Tetetetete we ni UWTMimi Baba yako kuwa na adabu.