Uchaguzi 2020 Tuliwaambia upinzani ni imani, mkabisha. Kiko wapi?

Hamjajipanga, mtashindwa vibaya sana, siioni mikakati ya ushindi ni sawa na msemo wa kizaramo kwamba; ngoma ya watoto haikeshagi, saa nane tu chalii. Nunua pilton za kutosha kuanzia tarehe 27/10 maana hutaamini kitakachotokea
 
Ndani ya hii miaka 5 Lumumba walidanganyana sana!! Sasa mziki wanao!!
 

Hivi kauli ya hapa kazi tu bado ipo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…