CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 933 Feb 21, 2013 #1 Ni wamiliki wa vyombo vya usafiri wanampango wa kuiandikia serikali barua ya kusitisha ukarimu wao kwa wanafunzi kisa eti wamefeli sana ingawa walikua wakiwabeba na kuwawahisha mashuleni!!!
Ni wamiliki wa vyombo vya usafiri wanampango wa kuiandikia serikali barua ya kusitisha ukarimu wao kwa wanafunzi kisa eti wamefeli sana ingawa walikua wakiwabeba na kuwawahisha mashuleni!!!
rosemarie JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 6,887 Reaction score 3,420 Feb 21, 2013 #2 Nildhani ni muendelezo wa ile story yetu! Habari ya siku nyingi bana!
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 933 Feb 21, 2013 Thread starter #3 director1 said: Nildhani ni muendelezo wa ile story yetu! Habari ya siku nyingi bana! Click to expand... Kama kawa,kama dawa mkuu!
director1 said: Nildhani ni muendelezo wa ile story yetu! Habari ya siku nyingi bana! Click to expand... Kama kawa,kama dawa mkuu!