Tuliwacheka Simba msimu uliopita waliishia karibu robo fainali caf champions league, timu ya wananchi msimu huu tumefika mbali sana hadi NIGERIA!!

Tuliwacheka Simba msimu uliopita waliishia karibu robo fainali caf champions league, timu ya wananchi msimu huu tumefika mbali sana hadi NIGERIA!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hao ndio mabingwa wa kihistoria almaarufu kama timu ya wananchi toka Jamhuri ya UTOPOLO!! Mwaka huu wamestahili kabisa kushiriki caf champions league na wamefika mbali sana hadi NIGERIA!! Kwa kweli wameitendea haki nafasi waliyoipata kwa mbeleko!!
 
Back
Top Bottom