KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Nyerere aliwahi sana kudai Uhuru kwani kulifanya hata maendeleo yeto kudumaa,Hapakuwepo na sababu ya kudai uhuru miaka ya 1961 kwani mpaka leo tunaonekana ndo tumedai uhuru juzi maana tunaona nchi zote ambazo tulizozisaidia zote zimeishatupita!Hata Sudan ya kusini itatupita tusubiri.