Wale mliosikiliza Clouds FM leo mtakubaliana na mimi moja kwa moja. Kwa wengine someni hizi facts;
1. Hajawahi kuonyesha presidential power ya kumtisha mtu
2. Hamna alichofanya zaidi ya kujaribu kutekeleza aliyoyaacha mkapa
3. Wananchi wameshindwa kutofautisha urais na usanii au uafisa miradi
4. Mfumuko wa bei ni proof kwamba hakukua na rais anaecontrol nchi.
Wale mliosikiliza Clouds FM leo mtakubaliana na mimi moja kwa moja. Kwa wengine someni hizi facts;
1. Hajawahi kuonyesha presidential power ya kumtisha mtu
2. Hamna alichofanya zaidi ya kujaribu kutekeleza aliyoyaacha mkapa
3. Wananchi wameshindwa kutofautisha urais na usanii au uafisa miradi
4. Mfumuko wa bei ni proof kwamba hakukua na rais anaecontrol nchi.
Na hii(red) ni hatari sana...Mostly alichofanya kwenye hili ni kuwatisha wafanyakazi kwamba wataenda kwenye MAONGEZI WAKIWA NA PLASTA!
Uraisi huu wa kupewa na akina ROSTAM uogopwe sana!