Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumaini umeishamfahamu kazi kwakomkurugenzi wa masoko
mkurugenzi wa masoko
...The right Person! Kuna mtu anaweza kuwa na email yake tafadhali JF?
Nadhani una Shida nae ya kikazi so chukua contacts za Ofisi
Tel: 022 2 112 113, Fax 022 2 112 113
dmr@crdbbank.com
nyumba ndogo ya Kimei pale CRDB, ndo maisha hayo maana ni mafupi pia.
Aliolewa na jamaa mmoja anaitwa Toni Msilikari lakini waliachana baada ya kuwa wamezaa mtoto mmoja. Walioana baada ya Tully kumaliza chuo kikuu
Kwahiyo sasa yuko single? Na je kuna ukweli katika haya unayosema kwani kama kuna kamati ya maadili basi Kimei atakuwa matatani kwa kuwa na personal relationship na one of his directors in the company (conflict of interest). CRDB hawana shareholders???
Masa kweli wataondoka wengi ni kwakuwa sheria za kazi bongo hazifuatwi ipaswavyoduuu hili litakumba wengi!
Kimei alinyang'anywa na JK na ndio kisa cha Kimei kuukosaa u Gavana
Kwahiyo sasa yuko single? Na je kuna ukweli katika haya unayosema kwani kama kuna kamati ya maadili basi Kimei atakuwa matatani kwa kuwa na personal relationship na one of his directors in the company (conflict of interest). CRDB hawana shareholders???
duuu hili litakumba wengi!
Rev za Loliondo?vipi nilisikia ulipata ajira huko?
Kama director wa marketing tunamuomba atusikilize malalamiko yetu kuhusu wafanyakazi wake wa CRDB na huduma zao. Inaonekana CRDB customer services zinashuka she is the right person kushughulikia hilo jambo kwani CRDB ni benki ya siku nyingi ila naona inatusikitisha siku hizi.
duuu hili litakumba wengi!