Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nilikuwa naangalia majuzi fb acc ya nabii mmoja aliwahi mtabiria David kifo cha mwanae
Leo nikaona niwasiliane nao nkatuma maombi yangu ya kiroho
nioMbewee weee ..kweli hamna vya buree
Msg niliyopokea mudaa huuuu
Tuna maji ya upako aina 3
Dollar 100 dollar 150
Na 200
Mafuta ya upako dollar 50
/150/200
Tumahela kupitia acc xxxxx
Weka details zako na jinsi ya kukufikia ulivyonunua
Mmmh nikawaza haya ndio majibu ya maombi yangu nini...hatareee
Leo nikaona niwasiliane nao nkatuma maombi yangu ya kiroho
nioMbewee weee ..kweli hamna vya buree
Msg niliyopokea mudaa huuuu
Tuna maji ya upako aina 3
Dollar 100 dollar 150
Na 200
Mafuta ya upako dollar 50
/150/200
Tumahela kupitia acc xxxxx
Weka details zako na jinsi ya kukufikia ulivyonunua
Mmmh nikawaza haya ndio majibu ya maombi yangu nini...hatareee