Wataishije bila hela zako?Nilikuwa naangalia majuzi fb acc ya nabii mmoja aliwahi mtabiria David kifo cha mwanae
Leo nikaona niwasiliane nao nkatuma maombi yangu ya kiroho
nioMbewee weee ..kweli hamna vya buree
Msg niliyopokea mdaa huuuu
Tuna maji ya upako aina 3
Dollar 100doller 150
Na 200
Mafuta ya upako dollar 50
/150/200
Tumahela kupitia acc xxxxx
Weka details zako na jinsi ya kukufikia ulivyonunua
Mmmh nkawaza haya ndio majibu ya maombi yangu nn...hatareee
Watumishi hawali kwa miujiza ila wanaponya kwa miujiza [emoji19][emoji848][emoji848]Unataka watumishi wakale wapi? Hawali kwa miujiza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huo nao ni muujiza!Watumishi hawali kwa miujiza ila wanaponya kwa miujiza [emoji19][emoji848][emoji848]
Mkuu tuone hyo meseji?Nilikuwa naangalia majuzi fb acc ya nabii mmoja aliwahi mtabiria David kifo cha mwanae
Leo nikaona niwasiliane nao nkatuma maombi yangu ya kiroho
nioMbewee weee ..kweli hamna vya buree
Msg niliyopokea mdaa huuuu
Tuna maji ya upako aina 3
Dollar 100doller 150
Na 200
Mafuta ya upako dollar 50
/150/200
Tumahela kupitia acc xxxxx
Weka details zako na jinsi ya kukufikia ulivyonunua
Mmmh nkawaza haya ndio majibu ya maombi yangu nn...hatareee
🤣🤣Na huo nao ni muujiza!
Ushahidi please[emoji3064]Nilikuwa naangalia majuzi fb acc ya nabii mmoja aliwahi mtabiria David kifo cha mwanae
Leo nikaona niwasiliane nao nkatuma maombi yangu ya kiroho
nioMbewee weee ..kweli hamna vya buree
Msg niliyopokea mudaa huuuu
Tuna maji ya upako aina 3
Dollar 100 dollar 150
Na 200
Mafuta ya upako dollar 50
/150/200
Tumahela kupitia acc xxxxx
Weka details zako na jinsi ya kukufikia ulivyonunua
Mmmh nikawaza haya ndio majibu ya maombi yangu nini...hatareee
Hayo maji ya upako Unataka pia yaruke kimiujiza Toka Lagosi mkuu? Kuna transport fee.. ila pia uwezekano wa kutumiwa maji ya Bomba au kisima ni mkubwa.