Papa Diana
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 304
- 22
Kwa wale wote walio nje, wenye wapenzi bongo nataka kuwapa fursa ya kutuma maua na vitu vengine! General costs ...flowers usd 40/=includes a card with message! chocolates usd 10/=, wine usd 20 (minimum, but depends on wine of your choice), langerie = can send photos and prices!!!
sasa kama kuna watu wako interested PM me ilinione kama interest ni kubwa, i need atleast 20 people for it to be viable, delivery sitafanyika tarehe 14 feb ofisini au nyumbani!!
Payments upfront through paypal email; or deposit in Uk bank account or western union;
huu ni wizi hakuna mtu yuko nje ana mpenzi bongo,kama yupo anadanganya na ana mpenzi mwingine huko :twitch::coffee:
huu ni wizi hakuna mtu yuko nje ana mpenzi bongo,kama yupo anadanganya na ana mpenzi mwingine huko :twitch::coffee:
huu ni wizi hakuna mtu yuko nje ana mpenzi bongo,kama yupo anadanganya na ana mpenzi mwingine huko :twitch::coffee:
Huu uzungu utatufikisha Pabaya...Mtu yupo ULAYA anitumie chocolate au Maua Bongo???? tena kwa DOLARI zote hizo??? si bora anitumie hizo dola???? Then hayo maua ntayafnya nini????? NIYAANGALIE TU?????????????????????????????
Huu uzungu utatufikisha Pabaya...Mtu yupo ULAYA anitumie chocolate au Maua Bongo???? tena kwa DOLARI zote hizo??? si bora anitumie hizo dola???? Then hayo maua ntayafnya nini????? NIYAANGALIE TU?????????????????????????????
Mr President uko wapi ili unitumie hayo maua ati!mpaka sasa sina dalili yoyote ya kupokea maua wala malavedave yeyote. yaan wakati huu wa kuelekea valentine wanaume wamekuwa wapole,eti ubusy umeongezeka.ukitibua kidogo tu wananuna kusuluhisha tar 15.mmh!
Hivi valentine bado ipo??
Mimi hapa ninaye anasoma Bongo na mi nnasoma ughaibuni, na ninampenda balaa na wala simcheat...!😛opcorn: