kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,117
Alighairi....Hivi bado unanipendaga au ulighairi??
Sasa mbona unamjibia jamani? Ngoja anijibu mwenyewe.Alighairi....
Huyu Vale mchokozi ujue. Mwambie hatupendagi ujinga ujueSasa mbona unamjibia jamani? Ngoja anijibu mwenyewe.
Bbyto wangu mieeeee
Domo zege yule acha tu nimjibieSasa mbona unamjibia jamani? Ngoja anijibu mwenyewe.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Huyu Vale mchokozi ujue. Mwambie hatupendagi ujinga ujue
Hebu muite, mwambie nimemmisimo.Domo zege yule acha tu nimjibie
Hawezi kuja. Anakuonea nishaiHebu muite, mwambie nimemmisimo.
Yees Mama la mamaBbyto wangu mieeeee
Love u bbytoYees Mama la mama
Haaa nakupenda sana ila wa wengi wewe mimi nishakuwa padre na sista Valentina tuna upako huo karibu sanaHivi bado unanipendaga au ulighairi??