Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

😂😂😂
 
Mkuu nimefumaniwa huku ndo nipo hapa najiuliza nikimbilie wapi 😂


Ila ahsante sana ngoja nimalizie hili nitarudi..😅
 
mtoa mada unamaanisha salam gani tena 😂😂salamu hizihizi au salamu kama salamu.
 
Natuma salamu kwa wafuatao

1.@Dinazarde mpenda umbea namba moja jf
2. Mshana Jr mzee wa busara aliyewahi kutungiwa nyimbo na juma nature
3.@OKW BOBAN SUNZU .huyu jamaa nahisi nimesoma naye chuo kimoja mwaka 1 na darasa 1
4.@Don Clericuzio mwanafunzi wangu wa draft
5.@stable woman .her name explains all
 
Mshana jr.
Zero Q
Sky eclat
Paskal mayalla
Maxmello the boss.
 
I salute you ✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…