The secretary analalamikia nini tena wa siri Kaizer?mwaJ wa siri wangu, tukienda lunch huwa hatusemi hapa....:baby:
nimpeleke wapi! Yupo kajaa tele kama pishi la mchele.
Mi natuma salamu kwa marehemu Regia Mtema na Chetuntu RIP my queens. JF is not the same without you girls. MMU inazimisi busara zenu. Wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uangalizi wa Kongosho semeni Amina. Roulette popote ulipo anzisha dua maalum kuwaombea ukishirikiana na watumishi wa Mungu Kaizer, KARIA, ram, Prishaz na afrodenzi.... Wimbo: Mbinguni kuna makao mazuri sana. Ujumbe: Kesheni mkiomba maana hamuijui siku wala saa. AMEN.
Yeah! Naamini hivyo. NITAWAKUMBUKA DAIMA.Babu umenikumbusa mbali sana..
sasa umenifanya nianze kuwaza especially kuhusu hao wapendwa
wetu wawili wa mwanzo uliowataja... Hopeful wako mali pema kabisa ...
The secretary analalamikia nini tena wa siri Kaizer?
Me napenda kuwatumia salamu wafuatao. Bishanga,Aspirin,Pombe kali(sijui yuko wapi au naye yumo kwenye list ya wale watu wa kigogo? Salamu zingine ziende kwa Arabela, wakati ndio sasa, mathematics(aliyetaka kujinyonga),KOKUTANA, Baba V, ladyfuraha, gfsonwin.
sitamsahau boss wangu Mamdenyi na salam zingine zimuendee Bab wangu Madame B.
Na wana chitchat wote
Ujumbe tufanye kazi kwa bidii
Mziki wa kusindikiza salam
( starehe- ferooz)
Yalaiti napenda pasi kifani,
Tofauti sikutilii moyoni,
Sikuachi leo na kesho peponi;
A a a aa aaaa aaaaaaa, I LOVE UUUUU!!!!!!!!!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss:
Rutashobolwa Hubby umeamkaje?
Me niko Pouwa,
Twende Fyatanga Tukwanywe....
Nime amka salama baby wangu!
namprotect dada yangu gfsonwin huyu paroko hata ahaminiki siku hizi au anataka kuanza 3some ya Asprin
Kaizer nimefurahijee? Karibu sana wa siri wangu. Kama nawaona waliokuwa wakiniringia wanavyonuna! Hasa Kongosho. Ila sina hakika kama babu Asprin atajumuika nasi maana kama asipokuwa kwa mkewe Yummy atakuwa kwa cacico au kwa bi mdogo wake BADILI TABIA. Bora umwalike rafiki yetu Azimio Jipya.