Utatumaje salamu Kwa mtu ambae haumjui physically?HERI YA SIKUKUU YA KRISMAS WADAU,
Uzi huu ni wa kutuma salamu za krismas kwa Wadau wawili hapa jamvini, haijalishi dini, dhehebu, wala kabila lake...
Malizia na ujumbe "Nampenda Sana"
Mimi naanza kutuma salamu kwa Mtu wangu wa karibu Heaven Sent pamoja na Mohamed Said
J
Ujumbe : Nawapenda sana
Huu uzi haukuhusu, kama unasherehekea Birthday yako una uhakika ulizaliwa tarehe hiyo unayoadhimisha?Anayeabudiwa tarehe 25 December ni Tamuzi, muungu wa Babeli aliyeingizwa afanane na YESU Ili aabudiwe Kwa Siri na wakristo. Hiyo ni KAZI ya waroma.
Mnaabudu miungu Kwa kujua au kutojua.
Soma (Yeremia 7:17-18), (Ezekiel 8:1-20), (Mwanzo 1:8) Nimrod ndiye baba wa Tamuzi wa mchongo.
Hata birthday sisherehekei.Huu uzi haukuhusu, kama unasherehekea Birthday yako una uhakika ulizaliwa tarehe hiyo unayoadhimisha?
Sasa kama husherehekei ni wewe sio sisiHata birthday sisherehekei.
Mungu hapendi kushare utukufu na miungu.
Tamuzi , muungu wa jua, anaabudiwa na wakristo duniani Kwa kujua na Kwa kutojua tarehe 25 December.
Kila siku ni ya kumshukuru Mungu Kwa kutuletea YESU azaliwe maishani mwetu.
Amen