Pre GE2025 Tumaini lililo jema kwa sasa ni kama Upinzani kutupa mbadala wa CCM au CCM kubadilika kwa maslahi ya Taifa

Pre GE2025 Tumaini lililo jema kwa sasa ni kama Upinzani kutupa mbadala wa CCM au CCM kubadilika kwa maslahi ya Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Tuna vyama vya siasa lakini kiuhalisia vyama hivyo kuna wana harakati tu ndio wengi hakuna watu ambao kama chama kinaingia madarakani basi watakuwa ndio engine ya serikali

Hivyo tunalalamika kuwa CCM hawafai ,ufisadi umeshamiri ,maliasili zinatumiwa vibaya lakini hakuna Chama kinachojipanga kuongoza Nchi kikawa mbadala wa CCM .

CCM imekuwa kama club ya mpira kila mpinzani anayeonekana mzuri inamchukua

Kuna haja ya wapinzani kuji organize au CCM kubadilika kwa masislahi ya Taifa .​
 
Tuna vyama vya siasa lakini kiuhalisia vyama hivyo kuna wana harakati tu ndio wengi hakuna watu ambao kama chama kinaingia madarakani basi watakuwa ndio engine ya serikali

Hivyo tunalalamika kuwa CCM hawafai ,ufisadi umeshamiri ,maliasili zinatumiwa vibaya lakini hakuna Chama kinachojipanga kuongoza Nchi kikawa mbadala wa CCM .

CCM imekuwa kama club ya mpira kila mpinzani anayeonekana mzuri inamchukua

Kuna haja ya wapinzani kuji organize au CCM kubadilika kwa masislahi ya Taifa .​
Pamoja na uwepo wa vyama, jambo la msingi ni kuchagua watu wema, waadilifu, wenye weledi kuanzia ngazi za chini mpaka juu na siyo lazima kuwa chama kimoja.
Kwa utaratibu huo vyama vitatoa wagombea bora na wenye sifa na siyo bora mgombea awepo.
Na hiyo ndiyo maana halisi ya demokrasia ya vyama vingi.
Tuanzie kwenye watu/wagombea, vyama vifuate.
 
Back
Top Bottom