Uchaguzi 2020 Tumaini Limbe atinga na baisikeli kuomba ridhaa ya CCM kuwania ubunge jimbo la Sengerema

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Tumaini Limbe mkazi wa wilaya ya Sengerema ametumia baiskeli kwenda ofisi za CCM kuchukua fomu kuwania ubunge jimbo la Sengerema huku akieleza kuwa kipato kidogo ndio sababu ya kutumia usafiri huo

 
Tumaini Limbe mkazi wa wilaya ya Sengerema ametumia baiskeli kwenda ofisi za CCM kuchukua fomu kuwania ubunge jimbo la Sengerema huku akieleza kuwa kipato kidogo ndio sababu ya kutumia usafiri huo


Anajisumbua tu huyo nikama mcheza x gwajima
 
Tumaini Limbe mkazi wa wilaya ya Sengerema ametumia baiskeli kwenda ofisi za CCM kuchukua fomu kuwania ubunge jimbo la Sengerema huku akieleza kuwa kipato kidogo ndio sababu ya kutumia usafiri huo

Maigizo kama ya Mwenyekiti wake
 
Akishchaguliwa kuwa mbunge anarudi kwa wananchi wake na V8...!
 
Sasa Kama kipato ni kidgo Bora angetumis usafiri wa Ungo asee chap tu keshafika.
 
Maigizo.... Tu wajinga ndy wataamini
Kunyonga kwenyewe hawez ni mzito
Alafu Hawa wanaojiita maskini, wanyonge sijui wakipata nafasi v8 zile, vipupwe zinawabadilisha Dakika sifuri

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…