Tumaini University Dar es Salaam College (TUDARCO)

Joined
Feb 1, 2015
Posts
44
Reaction score
8
Wakuu, naomba kwa alie na uelewa na hiki chuo nataka kufahamu ubora wake kiufundishaji na hadhi ya degree inayotolewa apo, nmetembelea website yao sikutosheka na taarifa nlizozipata. Naomba kwa anaekifahamu anieleze zaidi, na km kuna uwezekan tukijadili kidogo.
 

Huja ainisha unataka kujua nini specifically..
 
Kama Chuo Kina Sifa Zote Za Kuwa Chuo Kikuu We Unauliza Ubora Wake Kweli Wewe Kichwa Panzi
 
Apana bhanaaa, vyuo vyetu vingi Tz vinajulikana kaka, vnaitwa vyuo vikuu lakini wala havina hyo sifa ( a case of St. Joseph, Arusha Campus). Unujuwa TCU nao n wale wale, awawez kukup ukwel kuhus chuo fulani, kun habar ambaz kuwa c rasmi na si nzuri kwa taasis fulani ambaz huwez kuzpat formally ispokuw either kwa watu waliowahi kupit apo au waliona jamaa zao wanafnya kazi or kusoma apoo
 
Kama we ni mtanzania halafu hausomi UDSm, muhimbili, kairuki, kcmc bora uende kupiga ramli vilivyobaki sio vyuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…