Wana jamvi ninapenda kulalamikia wizi unaofanywa na Tumaini University Arusha (Makumira).
Ilikuwa hiv; mwaka jana kuna dogo alichaguliwa kuanza 1st year, bahati mbaya ni yatima, Mungu si Athumani Higher Education Students' Loans Board (HESLB) wakampatia mkopo in Full, kwa kweli alifurahi sana. Sasa kwenda chuoni Tumaini - Makamira akaambiwa anatakiwa atoe Tsh 500,000 ili afanye registration then HESLB wakipeleka mkopo wao chuo kitamrudishia hela atakayolipa. Hapo nikaanza kujiuliza swali huyu ni yatima kaonekana hawezi kujisomesha leo hiyo laki tano atatoa wapi?. Kilichotokea Dogo akaomba nimsaidie hiyo hela kwakuwa atarudishiwa fedha ikilipwa chuoni. Mwanaume sikuwa na kitu ikabidi nikakope sehemu tena kwa riba ya 20% kwani msaada pekee kwa dogo ilikuwa mimi na bahati mbaya sikuwa na hela wala sikumshtua dogo ila nilikwenda straight kukopa.
Sasa kilichotokea Tumaini wamelipwa na wamesema hawatarejesha ile 500,000 kwakuwa ina kazi nyingine ikiwemo kuwalipa walinzi, toka mwaka jana wanazungusha tu, na sijauliza ni wagapi wanadai huenda wapo wengi.
Swali ninalojiuliza hii ni haki kweli? Ada ya chuo maana yake ni nini? Si inajumuisha vyote hivyo? Inakuwaje wizi huu unafanyika tena kwa walalahoi!
Naomba ushauri hiyo hela itarudishwaje
Tatizo kama hili nimelisikia kwa mtu mwingine ila ni Tumaini Iringa
Ilikuwa hiv; mwaka jana kuna dogo alichaguliwa kuanza 1st year, bahati mbaya ni yatima, Mungu si Athumani Higher Education Students' Loans Board (HESLB) wakampatia mkopo in Full, kwa kweli alifurahi sana. Sasa kwenda chuoni Tumaini - Makamira akaambiwa anatakiwa atoe Tsh 500,000 ili afanye registration then HESLB wakipeleka mkopo wao chuo kitamrudishia hela atakayolipa. Hapo nikaanza kujiuliza swali huyu ni yatima kaonekana hawezi kujisomesha leo hiyo laki tano atatoa wapi?. Kilichotokea Dogo akaomba nimsaidie hiyo hela kwakuwa atarudishiwa fedha ikilipwa chuoni. Mwanaume sikuwa na kitu ikabidi nikakope sehemu tena kwa riba ya 20% kwani msaada pekee kwa dogo ilikuwa mimi na bahati mbaya sikuwa na hela wala sikumshtua dogo ila nilikwenda straight kukopa.
Sasa kilichotokea Tumaini wamelipwa na wamesema hawatarejesha ile 500,000 kwakuwa ina kazi nyingine ikiwemo kuwalipa walinzi, toka mwaka jana wanazungusha tu, na sijauliza ni wagapi wanadai huenda wapo wengi.
Swali ninalojiuliza hii ni haki kweli? Ada ya chuo maana yake ni nini? Si inajumuisha vyote hivyo? Inakuwaje wizi huu unafanyika tena kwa walalahoi!
Naomba ushauri hiyo hela itarudishwaje
Tatizo kama hili nimelisikia kwa mtu mwingine ila ni Tumaini Iringa