yametoka ila hawa majuha wa fom6 wacdhani ni wa tcu kwa ao wa bachelor mfano llb wanahitaji watu 400 na pale yapo majina yaliyotangazwa ni ma5 tu lazima kutakua na watcu wajazie izo nafac!
Ni kweli Tumaini Makumira wametoa majina lakini ajabu ya LLB ni matano tu, Nadhani hawa Tumaini watakuwa na TCU yao nyingine ya migombani,
Hawa Tumaini wanakera sana ada zao zipo juu sana kuaniza Milion2 kwa Education, Lakini hiki ni chuo chakavu sana, elimu yake ni ya kimazabezabe ya kuunga na supaglu heri usome TEKu kuliko hiki chuo cha kijuha.