Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
BAAAS KWISHAAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bao sita kwanini hawajafunga kwenye mechi za kimataifa?😀😀😀
Umeamka na furaha ya bao 6 mlizopiga jana
Simba wa alia huko
Umetumia nguvu isiyostahili. Ungeiuliza tu CAF na FIFA ambao mpira wa miguu ndio wa kwao 😂View attachment 3226480
BAAAS KWISH
View attachment 3226480
BAAAS KWISHAAA
Kolo kafunga goli hata nne kimataifa?ila kwenye ligi amefunga.Bao sita kwanini hawajafunga kwenye mechi za kimataifa?
Bao sita kwa KenGold sioni kama ni jambo la kujimwambafai
Kwahiyo hiyo unataka kusema kuwa Chat GPT nayo ni Yanga...?View attachment 3226480
BAAAS KWISHAAA
Wamezungumzia Tanzania, Yanga ndio klabu bora na Yenye mafanikio.Uliza top 20 best club in Africa.
Wamezungumzia Tanzania, Yanga ndio klabu bora na Yenye mafanikio.
Ukizungumzia CAF una maanisha Afrika na kwa eneo ilo hakuna klabu yoyote ya Tanzania yenye mafanikio, eneo ilo wenye mafanikio ni Al Ahly na baadhi ya timu nyingine zilizo twaa ubingwa wa Afrika.
Kama hauma kikombe chochote inabaki kuwa timu ya kawaida.
Kama kucheza robo au nusu kwenye mashindano ya Caf basi Yanga imefanikiwa kwakua imecheza fainal.
Nakataa,View attachment 3226480
BAAAS KWISHAAA
---Based purely on recent, demonstrable achievements, Simba SC edges out as slightly stronger right now.