TUMALIZE UBISHI: Nimeiuliza CHATGPT Which is The best football club in Tanzania

TUMALIZE UBISHI: Nimeiuliza CHATGPT Which is The best football club in Tanzania

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Screenshot_20250206-061619.png

BAAAS KWISHAAA
 
Uliza top 10 best club in Africa.
Kisha uliza kwanini Yanga haipo kwenye top 10 kama ni bora kuliko Simba? Majibu vumilia rohoni usiyalete.
 
Uliza top 20 best club in Africa.
Wamezungumzia Tanzania, Yanga ndio klabu bora na Yenye mafanikio.

Ukizungumzia CAF una maanisha Afrika na kwa eneo ilo hakuna klabu yoyote ya Tanzania yenye mafanikio, eneo ilo wenye mafanikio ni Al Ahly na baadhi ya timu nyingine zilizo twaa ubingwa wa Afrika.

Kama hauma kikombe chochote inabaki kuwa timu ya kawaida.

Kama kucheza robo au nusu kwenye mashindano ya Caf basi Yanga imefanikiwa kwakua imecheza fainal.
 
Wamezungumzia Tanzania, Yanga ndio klabu bora na Yenye mafanikio.

Ukizungumzia CAF una maanisha Afrika na kwa eneo ilo hakuna klabu yoyote ya Tanzania yenye mafanikio, eneo ilo wenye mafanikio ni Al Ahly na baadhi ya timu nyingine zilizo twaa ubingwa wa Afrika.

Kama hauma kikombe chochote inabaki kuwa timu ya kawaida.

Kama kucheza robo au nusu kwenye mashindano ya Caf basi Yanga imefanikiwa kwakua imecheza fainal.
Screenshot_20250206-095522_Chrome.jpg


View attachment 3226637
Screenshot_20250206-100025_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom