Uchaguzi 2020 Tumalize ubishi; Uchaguzi wa Rais 2020, CCM ilichapika au haikuchapika?

Uchaguzi 2020 Tumalize ubishi; Uchaguzi wa Rais 2020, CCM ilichapika au haikuchapika?

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu wa nguvu na wana wa Mungu wanaJF, kibali cha Mungu kikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake

Hili andiko litakua fupi sana.

JF ni ukweli na huakika siku zote,

Ndugu zangu binafsi bado nina msongo wa mawazo husiana na uchaguzi wa 2020 , hii ni tokana na maoni ambayo wanyonge wenzangu wamekuwa wakiyatoa katika vijiwe vyetu kwamba 2020 uchaguzi mwenda zake alichakazwa vibaya sana na team yake na ndo maana alikimbia na mpira kwapani, tokana na mwana wangu Lissu kuwapelekea moto ambao CCM iliwalazimu kulala na viatu na wengine kwenda gereji kila wakati.

Ila kwa mtazamo wa wengine wanasema uchaguzi wa wa 2020 CCM ilishinda kwa kishindo

Sasa ndugu zangu naomba tumalize utata, uchaguzi wa 2020 CCM ilichakazwa. au sio?

Natanguliza shukrani

Pia soma: Ya uchaguzi wa 2019 na 2020 yamejirudia uchaguzi wa marudio wa madiwani. Tutarajie uchaguzi mbovu tena 2024 na 2025
 
Wakuu wa nguvu na wana wa Mungu wanaJF, kibali cha Mungu kikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake

Hili andiko litakua fupi sana.

JF ni ukweli na huakika siku zote,

Ndugu zangu binafsi bado nina msongo wa mawazo husiana na uchaguzi wa 2020 , hii ni tokana na maoni ambayo wanyonge wenzangu wamekuwa wakiyatoa katika vijiwe vyetu kwamba 2020 uchaguzi mwenda zake alichakazwa vibaya sana na team yake na ndo maana alikimbia na mpira kwapani, tokana na mwana wangu Lissu kuwapelekea moto ambao CCM iliwalazimu kulala na viatu na wengine kwenda gereji kila wakati.

Ila kwa mtazamo wa wengine wanasema uchaguzi wa wa 2020 CCM ilishinda kwa kishindo

Sasa ndugu zangu naomba tumalize utata, uchaguzi wa 2020 CCM ilichakazwa. au sio?

Natanguliza shukrani

Pia soma: Ya uchaguzi wa 2019 na 2020 yamejirudia uchaguzi wa marudio wa madiwani. Tutarajie uchaguzi mbovu tena 2024 na 2025
Jiwe alipigwa hadi akakodi watu wa kumpiga mawe Lissu pale Chato
 
Wakuu wa nguvu na wana wa Mungu wanaJF, kibali cha Mungu kikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake

Hili andiko litakua fupi sana.

JF ni ukweli na huakika siku zote,

Ndugu zangu binafsi bado nina msongo wa mawazo husiana na uchaguzi wa 2020 , hii ni tokana na maoni ambayo wanyonge wenzangu wamekuwa wakiyatoa katika vijiwe vyetu kwamba 2020 uchaguzi mwenda zake alichakazwa vibaya sana na team yake na ndo maana alikimbia na mpira kwapani, tokana na mwana wangu Lissu kuwapelekea moto ambao CCM iliwalazimu kulala na viatu na wengine kwenda gereji kila wakati.

Ila kwa mtazamo wa wengine wanasema uchaguzi wa wa 2020 CCM ilishinda kwa kishindo

Sasa ndugu zangu naomba tumalize utata, uchaguzi wa 2020 CCM ilichakazwa. au sio?

Natanguliza shukrani

Pia soma: Ya uchaguzi wa 2019 na 2020 yamejirudia uchaguzi wa marudio wa madiwani. Tutarajie uchaguzi mbovu tena 2024 na 2025
Na kupitia tathmini hii tuangalie wapi palipotokea dosari tupakarabati isitokee Tena!
 
Waliojitokeza kupiga kura walikuwa mil 13, Tundu Lissu alipata kura milion 8 na ushee, Sendiga alipata laki unusu , tafakari mwenyewe
Kuna Wapuuzi juzi tena jumapili walikuwa wanachukua majina na vitambulisho vya NIDA vya watu wanaviandika wakanifuata na Mimi aisee niliwatukana sana mpaka wakaanza kukisifia chama Tawala na kuniita Mpinzani, nikawaambia acheni Usen***" na njaa zenu elfu 10 mnazopewa leo baadae mtakuwa mnalalamika kama Mbwa wenye njaa. Mpaka leo wananionea aibu. Sijui wana malengo na mipango gani? Yaani hizi njaa huwa zinawapeleka watu hovyo sana
 
Kuna Wapuuzi juzi tena jumapili walikuwa wanachukua majina na vitambulisho vya NIDA vya watu wanaviandika wakanifuata na Mimi aisee niliwatukana sana mpaka wakaanza kukisifia chama Tawala na kuniita Mpinzani, nikawaambia acheni Usen***" na njaa zenu elfu 10 mnazopewa leo baadae mtakuwa mnalalamika kama Mbwa wenye njaa. Mpaka leo wananionea aibu. Sijui wana malengo na mipango gani? Yaani hizi njaa huwa zinawapeleka watu hovyo sana
Good job
 
Kuna Wapuuzi juzi tena jumapili walikuwa wanachukua majina na vitambulisho vya NIDA vya watu wanaviandika wakanifuata na Mimi aisee niliwatukana sana mpaka wakaanza kukisifia chama Tawala na kuniita Mpinzani, nikawaambia acheni Usen***" na njaa zenu elfu 10 mnazopewa leo baadae mtakuwa mnalalamika kama Mbwa wenye njaa. Mpaka leo wananionea aibu. Sijui wana malengo na mipango gani? Yaani hizi njaa huwa zinawapeleka watu hovyo sana
Nimecheka kijinga sanq pole mkuu
 
Nimecheka kijinga sanq pole mkuu
Alafu leo asbh nakula mihogo na supu, Dada mmojawapo aliyekuwa anaandikisha majina juzi akawa anaomba nimnunulie Pepsi, nikamwambia ile kazi mliyolipwa elfu 10 juzi imeisha? 😂 😂 😂,
 
Mpaka mda huu mh lissu kama sio chokochoko mh alitakiwa kiongozi wa taifa hili , kama alipata kura m 8 na ushehe kati ya wapiga kura m12 au13 nimepata jibu

Ccm kuanzia leo mkome mtukana mh lissu kwa yoyote atakae mtamkia mabaya atakufa mdomo wazi asema Bwana , na inlmebarikuwa
 
Alafu leo asbh nakula mihogo na supu, Dada mmojawapo aliyekuwa anaandikisha majina juzi akawa anaomba nimnunulie Pepsi, nikamwambia ile kazi mliyolipwa elfu 10 juzi imeisha? 😂 😂 😂,
Mkuu , umeupiga mwingi,barikiwa
 
Hii naitoa copy na kutunza kabatini kwangu
Mahera akamtangaza Jiwe kapata kura mil 12! bila aibu huku akijua waliojiandikisha walikuwa mil 29, hakusema kwanini hawakujitokeza

Matokeo ya mil 12 kwa Jiwe yalipangwa na kuvujishwa na Wazalendo 2 weeks before

Screenshot_2024-05-25-18-18-48-1.png
 
Upinzani wa nchi hii hauna maana, unamuweka tundu lissu kugombea urais unategemea nini? Kipindi kile nchi ilikuwa imetoka kwenye COVID na wananchi walikuwa wanamwelewa JPM ile kinyama dhidi ya wale wapumbavu walikuwa wakidai lockdown wakatoka bungeni kwa mikwara kibao hata mwaka ujao 2025 watapigika ile mbaya Samia hoyeee!!!
 
Wakuu wa nguvu na wana wa Mungu wanaJF, kibali cha Mungu kikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake

Hili andiko litakua fupi sana.

JF ni ukweli na huakika siku zote,

Ndugu zangu binafsi bado nina msongo wa mawazo husiana na uchaguzi wa 2020 , hii ni tokana na maoni ambayo wanyonge wenzangu wamekuwa wakiyatoa katika vijiwe vyetu kwamba 2020 uchaguzi mwenda zake alichakazwa vibaya sana na team yake na ndo maana alikimbia na mpira kwapani, tokana na mwana wangu Lissu kuwapelekea moto ambao CCM iliwalazimu kulala na viatu na wengine kwenda gereji kila wakati.

Ila kwa mtazamo wa wengine wanasema uchaguzi wa wa 2020 CCM ilishinda kwa kishindo

Sasa ndugu zangu naomba tumalize utata, uchaguzi wa 2020 CCM ilichakazwa. au sio?

Natanguliza shukrani

Pia soma: Ya uchaguzi wa 2019 na 2020 yamejirudia uchaguzi wa marudio wa madiwani. Tutarajie uchaguzi mbovu tena 2024 na 2025
CCM ilishinda sana tu
 
Back
Top Bottom