Tumalize utata kwenye kampuni zinazouza electronic Kariakoo (Tanzania)

Baadhi zipo ila Kwa bei hizo ndio bei zake tu Ata hawajakupiga
 
Uzuri wa Samsung unascan QR Qode wanakuletea specifications za TV afu kama ni mjuzi wa TV ni haraka sana kugundua TV ya Samsung fake na OG.. lakin mpaka uwe mjuzi wa Izo Tv
 
🤣🤣🤣...dah nimecheka kiwenda wazimu
 
Nyingi sana! Tena ka survey tegeta haswa kipande cha salasala na scansca(kule chini iptl ) nenda na kipande cha misugusugu mpaka mdafu kuna barabara mpya ya lami imejengwa kuzunga hivyo viwanda
Nitafanya hivyo ili nijihakikishie
 
Kwa hiyo unafikiri maelezo yako yana msaada wowote? Kama huna kazi rudi kijijini ukalime au ukawe mganga wa kienyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…