Bila ya mazoezi especially
ya kukimbia then, hakuna njia nyingine. Na usije ukajaribu kujinyima
kula. Hilo ni kosa ambalo watu wengi wamekuwa wakulifanya na kuishia
kudhoofika na matokeo yake unakaribisha magonjwa
okey
kama alivyoshauri mdau mmoja hapo juu. Haya mambo yanahitaji kujitoa,
kuvumilia na pia kubadili mfumo wa maisha (hasa katika ulaji). Bila ya
hivyo unaweza kupungua kutokana na mazoezi, dawa au namna unavyokula..
ukirudi normal life weight inarudi kwa kasi ya ajabu. Best option ni
kutafuta long lasting solution nayo ni kufanya mazoezi na kuwa makini na
ulaji wetu.
Dah, hongera sana, nakutamanije, ngoja nijitahidi, mie nakunywa maji ya moto na asali tu so niongeze na limao?
Dozi ya mdalasini na limao niliifanya sana but haikusaidia kitu nikaachana nayo
mazoezi nitakua nafanya weekends..huku nazingatia ulaji wangu..natumaini nitakua poa tu
mkuu???!!! Are u okay???
Niko sawa kabisa maana kitambi kazi yake kufutia simu.Na kama umeshindwa kufuga ng'ombe basi hata kakitambi jamani?
Utakua poa sana.. jitahidi ufanyr situps na yoga... you will rock babe...
poleni wenye matumbo ,kumbe sisi flat screen ni deal hapa mjini
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani
mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli
msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine
Kama unavaa siruali acha, jilazimishe kuendelea na mazowezi.Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani
mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli
msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine